Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Its sadnews wakati biblia ikiendeleza ndoa iheshimike na watu wote huku kuna watu wakitarijika kupitia ndoa za watu...jamani kwa wale wanaomjua yule dada anaetengeneza nguo nzuri za harusi pale kwenye kona ya TPDC karibu na rosegarden ameibiwa nguo karibia zote asbh ya jana...zaidi ya 33..akiongea na chanzo chetu dada yetu mmoja aitwae pepetua alietarajiwa kufunga ndoa tarehe 17 may amesema amechanganyikiwa na hajui afanyaje......,naye alikuwa katika waathirrika..habari zaidi zinasema nguo halisi zilizoathirika ni zile zilizomalizika kabisa na kutundikwa ..mwana habari anasema asubuhi alikuja mfagiaji alipomaliza kufanya safari akazunguka nyuma kutupa takataka na kuelekea ******..kumbe kulikuw na pickup imekaa pembeni ya ofisi yake na huku vijana kama 3 wakiwa wameshuka na wengine kuanza kuagiza pombe huku akili kichwani.....
SISI KAMA WATUMISHI WA BWANA TUNAOOOMBA MUNGU KILA SIKU AWAPATIE WATU UBAVU WAO TUNAALAANI KWA NGUVU ZOTE UHUUNII HUU NA TUNAMPA POLE DADA YETU MAZA...TUNAJUA YUKO KATIKA WAKATI MGUMU LAKINI MUNGU HUWA ANAFUNGUA NJIA PALE P[ASIPO) NA NJIA.......TUNAKUOMBEA MUNGU USIKATE TAMAA MUNGU ATAKUBARIKI KWA JINSI UNAVYIOTUMIKA KUWAPAMBA WANANDOA KATIKA KUELEKEA KUTIMIZA MAANDIKO YA BIBLIA.....TUNAKUTAKIA KILA LA KHERI
SISI KAMA WATUMISHI WA BWANA TUNAOOOMBA MUNGU KILA SIKU AWAPATIE WATU UBAVU WAO TUNAALAANI KWA NGUVU ZOTE UHUUNII HUU NA TUNAMPA POLE DADA YETU MAZA...TUNAJUA YUKO KATIKA WAKATI MGUMU LAKINI MUNGU HUWA ANAFUNGUA NJIA PALE P[ASIPO) NA NJIA.......TUNAKUOMBEA MUNGU USIKATE TAMAA MUNGU ATAKUBARIKI KWA JINSI UNAVYIOTUMIKA KUWAPAMBA WANANDOA KATIKA KUELEKEA KUTIMIZA MAANDIKO YA BIBLIA.....TUNAKUTAKIA KILA LA KHERI