Nimekuwa nikipata mkanganyiko kuhusu matukio ambayo yanastahili kuimbiwa ubeti mmoja na yale yanayostahili beti zote mbili za wimbo wa Taifa wa Tanzania. Utakuta wakati wa tukio fulani linaimbwa...
Nimekutana na hizi picha mtandaoni ambazo zimepigwa hapa nchini Tanzania. Hizi picha si za kuvijunia hata kidogo. Na hili suala si lazima mtu aende darasani kujua ni makosa kumruhusu mtoto kunywa...
Mambo ya Bongo sasa hivi kiboko; kuna mashopingi moli kama ya mtoni, Maubungo Plaza, Mayfair Plaza na maplaza mengine mengi tuuu! Maapatimenti, mariili esteti broka, mabangaloo, na maskai skrepa...
Ambassador Inaugurates Jitegemee Secondary School
January 7, 2009
Mark Green, right, the U.S. ambassador to Tanzania, cuts a ribbon during a dedication ceremony at the Jitegemee Sec. School in...
Kama ana-uwezo wa kuandika text message zote hizi je ana-mda wa kusoma kweli?
THIS KID'S A TEXT MANIAC
OMG! 14,528 MESSAGES IN A MONTH!
HOLD THE PHONE! Greg Hardesty tries to pry a...
Nimeona hii habari bandugu naweka kama ilivyo.
World's first flying car set for lift-off next month
Asian News International - Text
Last Updated: January 11, 2009 06:00:04
London, Jan 11...
Ninakumbuka zamani kulikuwa na uvumi kuwa, albino hawafi, yaani wanaishi ukifikia muda wao hutoweshwa na kwenda kusikojulikana. Ilifikia mpaka watu wakawa wanabishana kuwa ni nani aliwahi...
Ki-moon appoints Masanche judge at ICTR
NICODEMUS IKONKO, Hirondelle, Arusha
Daily News; Friday,January 09, 2009 @21:15
The United Nations Secretary General, Ban Ki-moon, has appointed...
Mara nyingi ukifungua tovuti ya IPP Media ukitaka kusoma gazeti la Alasiri baadhi ya habari hazifunguki... na unakupata error message "page not found". Huu ni uzembe au ndio style mpya ya...
Nimekuwa nikifuatilia hii hali ya wananchi kufurahia kupewa misaada. Kwanza kuna misaada au michango inayotolewa na viongozi kama vile wabunge, mawaziri na hata Rais mwenyewe. Pili kuna misaada...
British Airways, Virgin Atlantic now charging half of KQ fares
By PAUL REDFERN
THE EAST AFRICA
Posted Saturday, January 3 2009 at 09:54
Both British Airways and Virgin Atlantic have...
Controversy surrounds Jangwani plot
ABDULWAKIL SAIBOKO
Daily News; Saturday,January 10, 2009 @20:20
Controversy surrounds the leasing of a plot belonging to Jangwani Secondary school at...
Mwenzetu Ben mwishoni mwa mwaka jana baada ya Noel alipata ajali ya gari huko India (New Delhi) na sasa anaendelea vema.
Leo amefanikiwa kuingia JF na kwakuwa kanifahamisha juu ya kilichomsibu...
(20 April 2008, Atlantic Ocean, Brazil)
In 1982 Lawn Chair Larry, beloved survivor of a Darwin-worthy attempt, attached 45 helium weather balloons to his comfortable Sears lawn chair, packed a...
Mkazi mmoja wilayani Mpanda mkoani Rukwa anashikiliwa na polisi kwa kosa la mauaji baada ya kumuua mtoto wake kwa kumpiga risasi akidhani ni ngedere wakati akilinda shamba lake la mahindi.
Tanzania yaenda Kenya kuchunguza wafungwa
Shadrack Sagati
Daily News; Friday,January 09, 2009 @21:15
Serikali imetuma maofisa wake katika magereza mawili Kenya kwa ajili ya kuchunguza...
Mgonja fails to get court permission to see ailing mother
FAUSTINE KAPAMA
Daily News; Friday,January 09, 2009 @21:15
Former Permanent Secretary with Treasury, Gray Mgonja, has asked the...
Nimesimuliwa na jamaa yangu ambaye ni mmoja wa wahanga wa tapeli huyu!
Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati...
wakuu hii sasa kali..Yaani unanunua vitu without using them!!the story is really interesting!!sijui mnaionaje maana bongo ukifanya hivi utaambiwa unakufuru au??
Shopaholic crushed to death by...
Ofisa CHADEMA aporomoka na lifti ghorofani
*Ni kutoka ghorofa ya kumi, ashtuka ubongo
Na Joyce Magoti
OFISA Habari na Uenezi wa CHADEMA, Bw. Devid Kafulila, amenusurika kifo baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.