Nyerere ameacha familia yake maskini hakuwa mjinga me ndhani bora nchi iongozwe na dictator, JAMANI tufanye nini ile yale yanayosemwa serikali haion,je watendaji wanogopa kukosa ajira, kukosa nyumba walizopewa au kujengewa na magari ya kifari, Je wakifa wataondoka nayo. Hii mijadala bora ipelekwe Kenya?? SOmaaaaaaaaa
1. labda wananchi hawajui ni kwa namna gani na kiasi gani ufisadi umezidisha
umasikini wao, kwa sasa na miaka mingi ijayo mbele?
2. labda sisi tunaojiita wanaharakati pia tumetekwa nyara kwa namna fulani,
tunafikiri tuna maisha mazuri yaliyotulia?
3. labda tunafikiri tukikosoa serikali yetu tutaonekana wapinzani - itikadi
iliyosimikwa vichwani mwetu kwamba kukosoa serikali ni kuwa mwanasiasa mpinzani na
hivyo ni sawa na kuwa mhaini?
4. pengine kila mmoja wetu anaogopa kuathirika binafsi kama akishiriki katika
vuguvugu - kupoteza kazi na kipato chake cha sasa hivi, kusitisha masomo,
kufungwa...
INAWEZEKANA NDIYO MAANA KAMILI YA AMANI NA UTULIVU
naomba mtu anithibitishie kwamba ninaota, nimepotoka
asanteni
Mr. Irenei Kiria
Executive Director
Youth Action Volunteers (YAV)
P. O. Box 12183
Dar es Salaam
Tel. 2666355/57
Fax 2668015
1. labda wananchi hawajui ni kwa namna gani na kiasi gani ufisadi umezidisha
umasikini wao, kwa sasa na miaka mingi ijayo mbele?
2. labda sisi tunaojiita wanaharakati pia tumetekwa nyara kwa namna fulani,
tunafikiri tuna maisha mazuri yaliyotulia?
3. labda tunafikiri tukikosoa serikali yetu tutaonekana wapinzani - itikadi
iliyosimikwa vichwani mwetu kwamba kukosoa serikali ni kuwa mwanasiasa mpinzani na
hivyo ni sawa na kuwa mhaini?
4. pengine kila mmoja wetu anaogopa kuathirika binafsi kama akishiriki katika
vuguvugu - kupoteza kazi na kipato chake cha sasa hivi, kusitisha masomo,
kufungwa...
INAWEZEKANA NDIYO MAANA KAMILI YA AMANI NA UTULIVU
naomba mtu anithibitishie kwamba ninaota, nimepotoka
asanteni
Mr. Irenei Kiria
Executive Director
Youth Action Volunteers (YAV)
P. O. Box 12183
Dar es Salaam
Tel. 2666355/57
Fax 2668015