Jeshi halina Mahema??

Jeshi halina Mahema??

Kang

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2008
Posts
5,694
Reaction score
2,588
Waathirika wa mabomu wamepangwa familia TANO kwenye hema moja!

Halafu eti wanasema wanategemea UNICEF watawapatia mahema kumi zaidi. Jamani, yaani jeshi letu limekosa mahema ya kutosha kuwahifadhi hawa watu?
 
Waathirika wa mabomu wamepangwa familia TANO kwenye hema moja!

Halafu eti wanasema wanategemea UNICEF watawapatia mahema kumi zaidi. Jamani, yaani jeshi letu limekosa mahema ya kutosha kuwahifadhi hawa watu?

Mbona wanajeshi walipoangwa kwenda Darfur walipewa mahema kibao pale Lugalo. Inawezekana mahema yametoka lakini jamaa wajanja wakachikichia nazo, si unajua siku hizi kuna biashara ya kukodisha mahema kwenye misiba na kwenye sherehe
 
Waathirika wa mabomu wamepangwa familia TANO kwenye hema moja!

Halafu eti wanasema wanategemea UNICEF watawapatia mahema kumi zaidi. Jamani, yaani jeshi letu limekosa mahema ya kutosha kuwahifadhi hawa watu?

I didn't know what to think when I heard that!
icon8.gif
 
Back
Top Bottom