Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Haya ni maoni ya Mhariri wa gazeti la Habari Leo. (msisitizo wa rangi nyeusi wangu na maoni ya kwenye mabano - MM) Tukarabati haraka miundombinu bila kuogopa gharama Imeandikwa na Mhariri...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Serikali imesema ilitupilia mbali mpango wa kuzalisha mvua kwa kutumia teknolojia ya Mfalme wa Thailand uliokuwa umeombwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, alipotembelea nchi hiyo mwaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Akamatwa, alala kituo cha Polisi Adaiwa kutapeli magari 18, manne yakamatwa, mengine yasakwa Alikuwa anadai ni kwa ajili ya chama CCM Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
WAZIRI Mwadini (38), mkazi wa Oysterbay, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni kujibu shitaka la kumshambulia askari na kumtukana matusi ya nguoni. Imedaiwa na Karani Fatma Khatibu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete, aliondoka nchini jana mchana kuelekea Davos, Uswisi kuhudhuria kikao cha kila mwaka kuhusu uchumi (World Economic Forum), kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimepata taarifa rasmi leo. Wote humu JF mlionisaidia you are acknowledged. Thank you all once again, may God reward you abundantly.
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Jeshi la polisi mkoani Kigoma limemwachia huru kwa msamaha maalumu mkazi mmoja wa kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu aliyesalimisha kwa serikali ya kijiji, silaha ya kivita aliyokuwa akiitumia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Majambazi yameendelea kutingisha nchi na katika tukio la kuhuzunisha watu wawili wakiwa na silaha wamemuua kwa kumpiga risasi kichwani mke wa mfanyabishara maarufu wa madini ya tanzanite...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
removing
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Just* click * here, *click* on play, then leave the mouse alone , sit back and enjoy a piece of creative brilliance.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
VINARA wa upatu wa Development Enterpreneurship Community Initiative (DECI), wataendelea kusota rumande hadi Februari 8, mwaka huu, kwa kuwa upelelezi bado haujakamilika. Watuhumiwa hao, Jackson...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SERIKALI imekiri kuwa tatizo la umeme visiwani Zanzibar linatokana na uchakavu wa mitambo ambayo ni ya muda mrefu na inahitaji marekebisho na gharama kubwa. Katika kipindi cha maswali ya papo kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda leo mchana (Ijumaa, Januari 8, 2010) anatarajiwa kufanya ziara ya siku moja katika wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro kukagua athari za mafuriko na jitihada ambazo Serikali...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kila saa 3 usiku TBC wanaonyesha kipindi cha promotion ya zain. Kinachoniwewesesha ni yule mtangazaji wa kike "Doreen", ivi yale matt ni ya mchina au??? kwanini anayaachia vile tena makusudi kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ina karibu wiki nzima bila picha mpya. Ukiingia huko kuna maelezo ya hitilafu za kiufundi. Kule Kwanzajamii.com hivyo hivyo, hakuna fundi mitambo! Isije ikawa wamehujumiwa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu niko maeneo ya katikati ya jiji la DSM asubuhi hii tulipaki gari yetu Mtaa wa Jamhuri kwa dakika kama 40 hivi , tuliporudi tena tulikuta gari yetu imebadilishwa namba na pembeni yake...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hotuba ya kumaliza mazishi!!! Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
COLORADO,Marekani MTOTO wa kiume raia wa hapa mwenye umri wa miaka 14 anadaiwa kuwaua wazazi wake kwa kuwapiga risasi baada ya kuagizwa kufanya kazi ndogondogo za nyumbani. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba niulize wana JF, hivi huu ustarabu wa kuweka watu mijini eti wafunge magari yanayo paki mahali pasiporuhusiwa umetoka nchi gani, je hizo pesa mkaguzi mkuu wa serikali anazifahamu. Mji wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF ninahoja. Kwa nini Tanzania tusianzishe chama cha wenye magari, ambacho kitaweza kutetea haki za kila mmiliki wa gari hapa nchini, maana tumechoka na manyanyaso ya kodi zisizo na kichwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…