Naomba niulize wana JF, hivi huu ustarabu wa kuweka watu mijini eti wafunge magari yanayo paki mahali pasiporuhusiwa umetoka nchi gani, je hizo pesa mkaguzi mkuu wa serikali anazifahamu.
Mji wa moshi ni tofauti kidogo, kuna mtari pembeni ya barabara ukipaki gari tairi likiwa nje ya mstari faini 50,000/= rushwa 20,000/= hawa vijana wako wengi kweli na wanakuvizia ukikanyaga tu mstari wanasubiri ushuke uende zako wanakuja mbio wanafunga myororo, wana kaa pembeni wanakusubiri urudi uwape 50,000/= kama hutaki usumbufu utoe 20,000/= bila risiti.
Hivi hawa jamaa kwanini wasikuelekeze wakati unapotaka kupaki gari lako?
Kwa nini wajifiche then waje kufunga gari?
Je huu ushuru wa kupaki gari sh 500/= unaendana na kipato cha watanzania?
Manispaa wanalijhua hili
Naomba niwasilishe?
Mji wa moshi ni tofauti kidogo, kuna mtari pembeni ya barabara ukipaki gari tairi likiwa nje ya mstari faini 50,000/= rushwa 20,000/= hawa vijana wako wengi kweli na wanakuvizia ukikanyaga tu mstari wanasubiri ushuke uende zako wanakuja mbio wanafunga myororo, wana kaa pembeni wanakusubiri urudi uwape 50,000/= kama hutaki usumbufu utoe 20,000/= bila risiti.
Hivi hawa jamaa kwanini wasikuelekeze wakati unapotaka kupaki gari lako?
Kwa nini wajifiche then waje kufunga gari?
Je huu ushuru wa kupaki gari sh 500/= unaendana na kipato cha watanzania?
Manispaa wanalijhua hili
Naomba niwasilishe?