Wana JF ninahoja.
Kwa nini Tanzania tusianzishe chama cha wenye magari, ambacho kitaweza kutetea haki za kila mmiliki wa gari hapa nchini, maana tumechoka na manyanyaso ya kodi zisizo na kichwa wala miguu. Hapo bado trafiki utakuta unaenda ofisini wana kusumbua hujui sheria gani anaitumia kukuchelewesha njiani.
Hiki chama kitakuwa na uwezo wa kuwapa taarifa wenye magari juu ya sheria mbalimbali na kuwatetea pindi zinapoibuka kodi za ajabu mf. Fire extinguishe nani anajua imetoka wapi? sheria gani?
Naomba kuwasilisha
Kwa nini Tanzania tusianzishe chama cha wenye magari, ambacho kitaweza kutetea haki za kila mmiliki wa gari hapa nchini, maana tumechoka na manyanyaso ya kodi zisizo na kichwa wala miguu. Hapo bado trafiki utakuta unaenda ofisini wana kusumbua hujui sheria gani anaitumia kukuchelewesha njiani.
Hiki chama kitakuwa na uwezo wa kuwapa taarifa wenye magari juu ya sheria mbalimbali na kuwatetea pindi zinapoibuka kodi za ajabu mf. Fire extinguishe nani anajua imetoka wapi? sheria gani?
Naomba kuwasilisha