Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Meya ailaumu polisi kuogopa vigogo wa 'unga' na Moses Ng?wat, Dodoma POLISI AIBU TUPU JESHI la Polisi mkoani Dodoma limetupiwa lawama kwa kushindwa kuwakamata vigogo wa kuuza dawa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aibu hii ya mauaji polisi itakwisha lini? HIVI karibuni kumekuwapo habari za mauaji ya raia yanayofanywa na askari polisi wa vituo mbalimbali nchini. Hili linathibitishwa na tukio la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika dola moja ya kimarekani pana picha ya piramidi ambayo kifuniko chake cha juu ni jicho. Pia kwa juu pana maandishi haya ANNUIT SEPTIS na kwa chini yake pana maandishi haya NUVOS ORDO...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Ikiwa ni post yangu ya kwanza,ningependa kuwajulia hali wana JF na wadau wote wenye nia njema na nchi yetu Tanzania. Leo nimeamua kuidadicate post yangu ya kwanza kwa wanaentertainment wote wa...
0 Reactions
150 Replies
21K Views
Aswad Ayinde, au maarufu kama Charles McGill Saturday, March 13, 2010 2:30 AM Mkurugenzi wa kutengeza video za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Moderators na wanaJF wenzangu mtanisamehe, najua hii ilipaswa kuwekwa kule kwenye forum ya Technology. KWAKUWA najua kuwa jukwaa hili lina visitors wengi sana kuliko kule. KWAKUWA nafahamu kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Colleagues, I strongly feel that being anonymous and faceless should not make us heartless and careless. First & foremost we should appreciate that we are talking about sad situation that befallen...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dk. Milton Mahanga Mapango makali yaliyozuka jana nchini Zambia, katika eneo lisilo la mwenyewe (No man's Land), jirani na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nasikia ljumaa ni siku ya misosi, mitungi na mikasi. Misosi ni vyakula vya anasa, mitungi ni pombe na mikasi ni ngono. Vitu hivi ni vya shetani. Je siku hii ya ljumaa ni siku maalum ya kumtukuza...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mimi katika mtazamo wangu tamaduni kama hizi, watoto wa watu kuwaweka nusu uchi, wanaoangalia ni wananume siuafiki, sielewi ni ushamba umenizidi au ni ulimbukeni. nisaidieni
0 Reactions
46 Replies
14K Views
News World news Israel...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria, unahitaji jumla ya Shilingi bilioni nne (sawa na dola milioni 3.7 za Marekani) kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ofisi na makazi ya kudumu ya balozi. Ubalozi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wapi naweza kupata faniture imara kwa bei nzuru dar zisiwe za china kwamfano kabati kitanda Leather sofa nk
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika hili una maoni gani kwa Rais kikwete na balaza lake la mawaziri? Hukumu ya TRL leo na Betty Kangonga RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kukutana na Baraza la Mawaziri kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Magari yakwama, trekta layakwamua Helikopta ya jeshi yaitwa kuokoa jahazi Ziara ya Rais Jakaya Kikwete kwenye kata ambayo haijawahi kutembelewa na rais yeyote tangu Tanzania ijitawale, juzi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
hi! wanajamii namfagilia sana mm vipi asiwe raisi wetu bongo mawazo yake na mchango wake unafaa kubadiliya nchi yetu au mwaonaje. ni mawazo na maono yangu I have dream CONQUEST
0 Reactions
20 Replies
3K Views
MATUMIZI ya fedha kwa ajili ya kujiweka katika nafasi nzuri kuteuliwa kugombea ubunge katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) yameshika kasi miezi minne kabla ya uteuzi rasmi utakaodhibitiwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
In a fitting show of solidarity for International Women's Day, First Lady Michelle Obama and Secretary of State Hillary Clinton made light of the brutal 2008 battle Clinton conducted to defeat...
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Mara ya kwanza sikuamini kama kweli TUCTA wamedhamiria kutomwalika Rais na zaid wametangaza MGOMO wa wafanyakazi wote Tanzania. Mimi ni mfanyakazi pia, sina tatizo na sababu walizozitoa kujustfy...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu Kuna tukio limetokea hapa Sinza maeneo ya Mapambano njia ya nyuma kama unaenda Mwenge kwenye miti mirefu bar moja inaitwa kwa jimmy . Kuna vijana 2 walikuwa wanatembea njiani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…