Apewe Urais Kwa lipi hasa? Kukaanga sumu JF?
Ingependeza kaa ungetafakari post unayoijibu kabla ya kukurupuka. Unaelewa context ya neno sumu kaa ilivotumika ktk hiyo post?Kwako sumu kwa wengine ni dawa ya kuondoa mawazo mgando na kukuza
Patrotism kwa nchi yetu.
Ingependeza kaa ungetafakari post unayoijibu kabla ya kukurupuka. Unaelewa context ya neno sumu kaa ilivotumika ktk hiyo post?
hi!
wanajamii namfagilia sana mm vipi asiwe raisi wetu bongo mawazo yake na mchango wake unafaa kubadiliya nchi yetu au mwaonaje.
ni mawazo na maono yangu
I have dream
CONQUEST
hehehe hiyo avatar yako inatosha kuelezea unayomuwazia mm.hi!
wanajamii namfagilia sana mm vipi asiwe raisi wetu bongo mawazo yake na mchango wake unafaa kubadiliya nchi yetu au mwaonaje.
ni mawazo na maono yangu
I have dream
CONQUEST
hahahahahahhaha heheheheheh dah umenifurahisha sana Msanii, imekuwa asubuhi njema kwakweli. Asantehehehe hiyo avatar yako inatosha kuelezea unayomuwazia mm.
hi!
wanajamii namfagilia sana mm vipi asiwe raisi wetu bongo mawazo yake na mchango wake unafaa kubadiliya nchi yetu au mwaonaje.
ni mawazo na maono yangu
I have dream
CONQUEST
mbona hamnitakii mema... tayari nishakuwa target ya kutosha tu.. kama waliutenda mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu.. on a serious note: Nikiwa Rais nitakosa wa mkosoa!!! .. but even more.. Urais wa Tanzania ulivyo sasa ni kikwazo kikubwa cha mabadiliko.!!! ila yeyote anayeutaka lazima tumpima kwanza kichwani..
so hii ndoto yako ibadikie burudani tu.. kwani miye nimeota juzi Tanzania nzima tumepanga mstari kumsalimia Mfalme JK 1.. so pendekezo langu tumfanye yeye awe wa maisha halafu hizi ndoto zote zitaisha..
Aje kwanza aanzie na ubunge jimboni kwangu halafu in the next five years tutam-promote. I have a dream too
tafadhali usilitaje hilo jimbo...
Ili mtu awe kiongozi wa umma lazima tujue information zake zote - kuanzia alikozaliwa, shule aliyosoma hadi kazi anafanya kwa sasa.
...hehehe well said.mbona hamnitakii mema... tayari nishakuwa target ya kutosha tu.. kama waliutenda mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu.. on a serious note: Nikiwa Rais nitakosa wa mkosoa!!! .. but even more.. Urais wa Tanzania ulivyo sasa ni kikwazo kikubwa cha mabadiliko.!!! ila yeyote anayeutaka lazima tumpima kwanza kichwani..
so hii ndoto yako ibadikie burudani tu.. kwani miye nimeota juzi Tanzania nzima tumepanga mstari kumsalimia Mfalme JK 1.. so pendekezo langu tumfanye yeye awe wa maisha halafu hizi ndoto zote zitaisha..