Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Katika hili una maoni gani kwa Rais kikwete na balaza lake la mawaziri?
Hukumu ya TRL leo
na Betty Kangonga
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kukutana na Baraza la Mawaziri kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali, huku mjadala mkubwa ukihusu mkataba wa uendeshaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL).
Rais Kikwete alisema kwa maelezo mafupi kuwa atakutana na Baraza la Mawaziri leo ili kupata muafaka wa mkataba wa TRL ambao unaonekana kutokuwa na tija kwa taifa.
Hukumu ya TRL leo
na Betty Kangonga
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kukutana na Baraza la Mawaziri kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali, huku mjadala mkubwa ukihusu mkataba wa uendeshaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL).
Rais Kikwete alisema kwa maelezo mafupi kuwa atakutana na Baraza la Mawaziri leo ili kupata muafaka wa mkataba wa TRL ambao unaonekana kutokuwa na tija kwa taifa.