Mi bado najiuliza takukuru je mkono wa sheria unafika kote jamni au la? Kwani kuna kampeni za kutoa rushwa nje nje mfano mzuri kwenye misiba huwezi amini hata kidogo ukihuidhuria misiba hivi sasa...
Zifuatazo ni picha za Helikopta itakayokuwa ikitumika katika shughuli za usafiri ikitua katika Hotel ya Holiday Inn.
Nderemo na vifijo vilitawala siku ya Ijumaa tarehe 3/9/2010 ambapo...
2-year-old Indonesian chain-smoker kicks habit.
Kwa wale walobahatika kuiona video yake ama hata kupata habari zake huyu dogo,vitu vyake ilikuwa ni balaaa.
check video clip katika MSN news...
Rais wa zamani wa Nigeria, Olesegun Obasanjo amesema maisha ya wakulima hayana mvuto kama ilivyo ya wanasoka au watangazaji maarufu wa televisheni hali ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa...
Katika kuishi kwangu, kuzaliwa kukulia nakusoma NA KUFANYA KAZI katika jiji la DAR,nnaweza kusema ilikuwa jambo la bahati sana, manake kuna watanzania wengi hawajawahi kufika DSM. Lakini mtazamo...
Kampuni za simu nilizotaja hapo juu zinagawana wingi wa wateja ktk soko la mitandao ya simu nchini.
Ili kuwamotisha wateja kampuni hizi zimekuwa zinaandaa na kuendesha bahati na sibu mbali mbali...
By Daily Mail Reporter
Last updated at 9:49 AM on 3rd September 2010
A boy of 15 who has never been to school has become the youngest student for more than 200 years to win a place at Cambridge...
'Brain haemorrhage' SMS causes panic in Kenya
A text message being sent around claims 27 people have died after picking up calls from numbers listed in the SMS
Kenya's telecommunications...
Akiwa anaelekea katika shughuli zake za kila siku katikati ya jiji majira ya asubuhi jana, na amelazwa MOI. Amevunjika mguu mara 2 wa kulia mkono wa kulia pamoja na maeneo ya kichwa yamepata...
Wana bodi,
Yule mwana mpotevu kwa jina la 'KULIKONI', (Gazeti), amerejea rasmi nyumbani asubuhi ya leo, kwa kumkuta amejibanza tena kwenye meza za magazeti, hivyo kuufuta ile dhana kuwa...
Na Hidaya Kivatwa
Mkazi wa Kimara Abduswamadu Shabani (25), mwalimu wa shule ya kiislwamu (madrasa) ya king'ong'o amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilayani Kinondoni kwa tuhuma za...
Hivi nyie akina dada mimi siwaelewi na mitindo yenu ninani anawashika masikio??
Mfano naanza na pochi walikuwa navipochi vinaitwa kipima joto vidogo!sikuhizi unakuta mwanamke anapochi yakubeba...