Mi bado najiuliza takukuru je mkono wa sheria unafika kote jamni au la? Kwani kuna kampeni za kutoa rushwa nje nje mfano mzuri kwenye misiba huwezi amini hata kidogo ukihuidhuria misiba hivi sasa utaona kuna mkurugenzi wa wilaya, katibu mkuu wachama mkoa,na diwani na mgombea basi hapo utasikia hii kwa niaba ya chama natoa kisai fulani cha fedha cha ajabu hata yule papa kwa jina namuhifadhi naye siku hizi never mis, je takukuru halioni hili