Je takukuru mmeliona la moshi vijijini?

moizze

New Member
Sep 6, 2010
1
0
Mi bado najiuliza takukuru je mkono wa sheria unafika kote jamni au la? Kwani kuna kampeni za kutoa rushwa nje nje mfano mzuri kwenye misiba huwezi amini hata kidogo ukihuidhuria misiba hivi sasa utaona kuna mkurugenzi wa wilaya, katibu mkuu wachama mkoa,na diwani na mgombea basi hapo utasikia hii kwa niaba ya chama natoa kisai fulani cha fedha cha ajabu hata yule papa kwa jina namuhifadhi naye siku hizi never mis, je takukuru halioni hili
 
Mi bado najiuliza takukuru je mkono wa sheria unafika kote jamni au la? Kwani kuna kampeni za kutoa rushwa nje nje mfano mzuri kwenye misiba huwezi amini hata kidogo ukihuidhuria misiba hivi sasa utaona kuna mkurugenzi wa wilaya, katibu mkuu wachama mkoa,na diwani na mgombea basi hapo utasikia hii kwa niaba ya chama natoa kisai fulani cha fedha cha ajabu hata yule papa kwa jina namuhifadhi naye siku hizi never mis, je takukuru halioni hili


moizze

  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date
Mon Sep 2010
Posts
1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power0

Karibu JF mkuu. Au umebadili ID?
 
Back
Top Bottom