Holiday INN Dar wazidundua kiwanja cha Helicopter

Holiday INN Dar wazidundua kiwanja cha Helicopter

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,473
Reaction score
757
Zifuatazo ni picha za Helikopta itakayokuwa ikitumika katika shughuli za usafiri ikitua katika Hotel ya Holiday Inn.





Nderemo na vifijo vilitawala siku ya Ijumaa tarehe 3/9/2010 ambapo uongozi wa hoteli hiyo walipozindua rasmi kiwanja chao kilichopo juu ya paa la hoteli hiyo kwa ajili ya usafiri kwa njia ya helikopta.
Habari toka kwa msemaji wa hoteli hiyo,zinasema kuwa ujenzi ulikuwa unafanyika chini ya uangalizi wa TCAA na hatimaye umekamilika kulingana na mahitaji ya sheria zote za usafiri wa anga. Lakini ufunguzi huu wa leo haumanishi biashara ndio imeanza rasmi, hapana kwa sababu tupo katika kumalizia hatua za mwisho za kiusalama zaidi.
 
Hayo ndio maendeleo Holiday Inn wameanza wengine wafuate
 
hebu watuwekee hizo fees za kukodisha tuone akina nani watazimudu hapa bongo au ni mahsusi kwa watalii ma watu wa ughaibuni..
 
Kikwete atasema nalo hilo ni mafanikio ya ilani ya chama chake
 
Back
Top Bottom