NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Akiwa anaelekea katika shughuli zake za kila siku katikati ya jiji majira ya asubuhi jana, na amelazwa MOI. Amevunjika mguu mara 2 wa kulia mkono wa kulia pamoja na maeneo ya kichwa yamepata majeraha. Hali yake inaendelea vizuri kwa sasa. Nitakuwa habairisha zaidi maendeleo ya afya ya member mwenzetu.
Tumuombee Mungu apone haraka na kurejea katika shuguli zake za kila siku.
Tumuombee Mungu apone haraka na kurejea katika shuguli zake za kila siku.