kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Wana ndugu hebu wekeni mezani elimu ya makamba maana napata taabu kwelikweli kutambua makamba kasomea nini au ana elimu kiwango gani?
Mimi naona Makamba yuko effective sana kwenye nafasi aliyonayo na ndio maana haachi kuwa gumzo vinywani mwa wapinzani wake.
Wana ndugu hebu wekeni mezani elimu ya makamba maana napata taabu kwelikweli kutambua makamba kasomea nini au ana elimu kiwango gani?
Sure...Kama akina Masanja wa Zecomedy!
Wana ndugu hebu wekeni mezani elimu ya makamba maana napata taabu kwelikweli kutambua makamba kasomea nini au ana elimu kiwango gani?
Makamba anaelimu ya darasa la saba, nasikia aliwahi kuwa mwalimu , kisha mwanajeshi. zaidi ya yooote ndio mwanaCCM mwenye akili zaidi , ikihisiwa IQ ni kubwa kuliko woooote na anaaminika zaidi, na anakarama ya uongozi kuliko ccm wooote na ndio maana kwa kutumia uwezo wake wakufikiri alishawishi kuajiriwa kwa Tabwe Hiza , Chiligati kama wasaidizi wa mwenyekiti wa ccm Taifa, ni yeye alieshauri fomu yakutafuta wadhamini Ya JK itembezwe na Ridhwani.kile kichwa adimu ccm.
Makamba anaelimu ya darasa la saba, nasikia aliwahi kuwa mwalimu , kisha mwanajeshi. zaidi ya yooote ndio mwanaCCM mwenye akili zaidi , ikihisiwa IQ ni kubwa kuliko woooote na anaaminika zaidi, na anakarama ya uongozi kuliko ccm wooote na ndio maana kwa kutumia uwezo wake wakufikiri alishawishi kuajiriwa kwa Tabwe Hiza , Chiligati kama wasaidizi wa mwenyekiti wa ccm Taifa, ni yeye alieshauri fomu yakutafuta wadhamini Ya JK itembezwe na Ridhwani.kile kichwa adimu ccm.
Wana ndugu hebu wekeni mezani elimu ya makamba maana napata taabu kwelikweli kutambua makamba kasomea nini au ana elimu kiwango gani?
Wana ndugu hebu wekeni mezani elimu ya makamba maana napata taabu kwelikweli kutambua makamba kasomea nini au ana elimu kiwango gani?
bwaaa haaaaa ,kwakwaaaaa kwawawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamakamba anaelimu ya darasa la saba, nasikia aliwahi kuwa mwalimu , kisha mwanajeshi. Zaidi ya yooote ndio mwanaccm mwenye akili zaidi , ikihisiwa iq ni kubwa kuliko woooote na anaaminika zaidi, na anakarama ya uongozi kuliko ccm wooote na ndio maana kwa kutumia uwezo wake wakufikiri alishawishi kuajiriwa kwa tabwe hiza , chiligati kama wasaidizi wa mwenyekiti wa ccm taifa, ni yeye alieshauri fomu yakutafuta wadhamini ya jk itembezwe na ridhwani.kile kichwa adimu ccm.
Mimi naona Makamba yuko effective sana kwenye nafasi aliyonayo na ndio maana haachi kuwa gumzo vinywani mwa wapinzani wake.
Ili iweje?
safi