Too bad..Pole nyingi sana kwa familia!hizo habari na mimi nimezisikia,wanaishi u.k mji wa birmingham.walikuwa wanarudi zao u.k,walienda holiday Tanzania
au ndiyo ile iliyoko kwenye msafara wa mgombea urais fulani?Inasemakana hapo J.K Nyerere airport hata Ambulance hakuna, sijui wanasubili adondoke Pinda au Kikwete ndo waone umuhimu wa kuweka kwa tahadhari?
au ndiyo ile iliyoko kwenye msafara wa mgombea urais fulani?