Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk. Edward Hoseah. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imesema kuwa inatambua kuwepo kwa vitendo vya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu; nimekuwa na pilika za hapa na pale na nilimiss zoezi la kwanza huko Dar; Wakati fulani niliambiwa kuwa muda umeongezwa; Je bado zoezi linaendelea ama nianze taratibu za kujiandikisha...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Siku ya malaria duniani pamoja na changamoto na mipango endelevu ni kuhakikisha kuwa vyandarua vinasambazwa kwa wingi ili kutokomeza malaria ifikapo mwaka 2013. Lakini wazungumzaji hakuna mahali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo amemwapisha Jaji Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Uongozi na wajumbe wa tume hiyo katika sherehe zilizofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Rais Kikwete akutana na UNDP Administrator Bibi Helen Clark Ikulu jijini Dar es salaam Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na UNDP Administrator Bibi Heken Clark ikulu jijini Dar...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Traffic mmoja akiwa na wenzake wameambulia kichapo baada ya askari mmoja kusimamisha basi na kuamuru abiria wote washuke huku akichukua funguo za gari na kuelekea sehemu wanazobana kwa kupeana...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hii si tu kwa wachezaji weusi bali weusi kwa jumla jamani mliokimbilia huko kwa watu si haba kila sehemu riziki nasema hivi sio ku nadi ma dada zetu hapana nasema jamani wazuri wapo afrika kabla...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salamu wanajamii Naomba kujua mwenye details za maelezo ya TUCTA kama zilivyotolewa katika taarifa ya habari juzi na Channel Ten usiku. Nazitafuta lakini sijafanikiwa kuzipata. Nimedokezwa tu kuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wafanyakazi wamejenga hoja kadha wa kadha za kudai maslahi zaidi ambayo wanaamini kuwa zikiangaliwa kwa ukaribu, zina mantiki na kuwa serikali ina uwezo wa kuzishughulikia na kutimiza. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
This is the most beautiful advice I have ever received in an email.... Please don't close or delete this one before reading! An Angel says, 'Never borrow from the future. If you...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
http://news.sky.com/skynews/Home/UK-News/Ghost-Photo-At-Tantallon-Castle-In-Scotland-Baffles-Experts-At-Edinburgh-Science-Festival/Article/200903415249979?lid=ARTICLE_15249979_GhostPhotoAtTantallon...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekutana na habari hii yahoo news.... Indian doctors are studying a remarkable 83-year-old holy man who claims to have spent the last seven decades without food and water. The...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kitendo cha waziri kiongozi wa zanzibar kusema hadharani kwamba tanzania tunaibiwa katika mgodi wa tanzanite imetofautiana na mkuu mwenzake katika wizara ya madini ambapo alisema tanzania inapata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimetafakari kwa ukaribu na nikakuta UVCCM ndio umoja wa vijana hapa nchi ambao una vijana wengi waliojiunga katika ummoja huo, na ndio kama inavyodaiwa na CCM ndio wapiganaji wao katika shughuri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Peace be upon those who follow the Guidance, Usifikirie kuwa haiwezekani kuachana na Uyahudi/Zionist, inawezekana! feel free to Pm me. Thanks.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima kwenu wapwas, Baada ya kuwa nimepoteza imani na kila kitu katika maisha yangu, baada ya kuona kuwa sasa siwezi kufanya kitu chochote kwa sababu ya kukata tamaa na maisha.. yes usishangae...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
INGEKUWA NI HAPA KWETU TZ IMETOKEA HIVYO ANGEMUACHA MGONJWA AKAJINUSURU AU ANGEENDELEA KUMTIBU KAMA HUYU ALIVYOFANYA ...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeona tangazo kwenye gazeti la Daily News la wiki iliyopita kwenye nafasi za Kazi. Imeandikwa kuwa Wanafunzi wa Tumaini Iringa waliosoma sheria wasiapply. Nani mwingine ameliona? Ni kwanini...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
1. Buy made in Tanzania goods, whenever you can afford to, and whenever they are of comparable quality to foreign goods. Personally, I would advice that we buy quality. No point patronising...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Two die in car accident at Geita mine - AngloGold I-Net Bridge | Wed, 12 May 2010 17:22 [miningmx.com] --Gold miner AngloGold Ashanti on Wednesday reported the death of two workers in a...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…