Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Nimeona tangazo kwenye gazeti la Daily News la wiki iliyopita kwenye nafasi za Kazi. Imeandikwa kuwa Wanafunzi wa Tumaini Iringa waliosoma sheria wasiapply. Nani mwingine ameliona? Ni kwanini? Manake nilitaka nimpeleke mdogo wangu kusoma Sheria pale.
Yeyote mwenye uelewa na hicho chuo anisaidie tafadhali.
Mzi
Yeyote mwenye uelewa na hicho chuo anisaidie tafadhali.
Mzi