Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,946
- 5,087
Heshima kwenu wapwas,
Baada ya kuwa nimepoteza imani na kila kitu katika maisha yangu, baada ya kuona kuwa sasa siwezi kufanya kitu chochote kwa sababu ya kukata tamaa na maisha.. yes usishangae nimekata tamaa na maisha kila ninachofanya ni sifuri naludi nyuma kila siku badala ya kwenda mbele. nikagundua kuwa tatizo langu kubwa ni kutokuwa na imani imani na maisha, imani na kazi imani ndani yangu sina imani na chochote. baada ya kuanza kusoma biblia yangu ya siku nyingi nikakutana na mstari huu kwa tafsiri isiyo rasmi " UKIWA NA IMANI KAMA PUNJE YA HARADANI HAMNA LITAKALO SHINDIKANA KWAKO" nikasema wao kaimani kidogo tu kama hii punje kananitosha.
Tatizo sijui ni wapi nitapata hizi punje ndogo za haradani ili niwe naishika na kuingalia itanisaidia kuludisha imanni yangu kwa asilimia nyingi tu so please nisaidieni wandugu kabla sijaingia shimoni manake niko katika hali mbaya
Baada ya kuwa nimepoteza imani na kila kitu katika maisha yangu, baada ya kuona kuwa sasa siwezi kufanya kitu chochote kwa sababu ya kukata tamaa na maisha.. yes usishangae nimekata tamaa na maisha kila ninachofanya ni sifuri naludi nyuma kila siku badala ya kwenda mbele. nikagundua kuwa tatizo langu kubwa ni kutokuwa na imani imani na maisha, imani na kazi imani ndani yangu sina imani na chochote. baada ya kuanza kusoma biblia yangu ya siku nyingi nikakutana na mstari huu kwa tafsiri isiyo rasmi " UKIWA NA IMANI KAMA PUNJE YA HARADANI HAMNA LITAKALO SHINDIKANA KWAKO" nikasema wao kaimani kidogo tu kama hii punje kananitosha.
Tatizo sijui ni wapi nitapata hizi punje ndogo za haradani ili niwe naishika na kuingalia itanisaidia kuludisha imanni yangu kwa asilimia nyingi tu so please nisaidieni wandugu kabla sijaingia shimoni manake niko katika hali mbaya