Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ni furaha tena waweza cheza upendavyo ukiwa salama
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Aliyeaga kwenda misa ya kwanza Kristo Mfalme akutwa akizini Send to a friend Sunday, 16 May 2010 20:09 0diggsdigg Daniel Mjema, Moshi MJI wa Moshi na vitongoji vyake, jana ulizizima baada ya...
0 Reactions
63 Replies
9K Views
rais jakaya mrisho kikwete akiwa na rais wa awamu ya tatu bw.ben mkapa wakitembelea baadhi ya maeneo ya ukanda maalum wa uwekezaji kwaajili ya kuuza nje(benjamin william mkapa special economic...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Mwenye habari kuhusu Umeme na maji vitafika lini atupe data
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni mchawi alidondoka kwenye nyumba moja eneo la Mbezi Luis jijini Dar es Salaam akiwa safarini kwa njia ya ungo akielekea Shelisheli kwenye mkutano wa wachawi. Taarifa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Balbu hizi ni hatari Monday, 17 May 2010 12:22 LONDON, Uingereza WAKATI teknolojia ya matumizi ya nishati ya umeme yakizidi kukua, Wizara ya Afya nchini Uingereza imehadharisha kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi karibuni jamaa yangu alikwenda dukani kununua neti ya olyset inayosifika kwa ubora wa kukinga mbu,akalipa sh 8000 akapewa neti ya olyset iliyofungwa kwenye mfuko wa nailoni wenye nembo ya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
kuna habari zisizo rasmi ambazo zinadai kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta chama cha mabsi kina mpango wa kuongeza nauli kwa rout fupi kuwa sh 500 kuanzia ijumaa ijayo. Habari hii nimeiskia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF ningependa kujua lengo la TBC1 na LAPF katika shindano la ndoto ambalo linaendeshwa na mama TERRY.Nia ya kipindi sijailewa vizuri kwani imekuwa ni kuonyesha umaskini tulionao watanzania au...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hakika kama umepita sinza hutosita kuungana nami kwamba sasa sinza inaitaji kuitwa jiji la sinza nimepita kila sehemu imekidhi kila haja ya mtanzania kwa kila maitaji ya mtanzania....kwa wale...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari watu wa JF? Natanguliza samahani kuwa kichwa kilipashwa kusomeka Star Times Decoder Kwa watumiaji wa Decoder za Star Times, naomba nisikie maoni yenu juu mambo haya: 1) Stations...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamani ugali iwe wa mahindi au wowote mwengine ni mtamu,lakini kwa kweli ugali wa mahindi ambao wengine huuita sembe au sima ni vyema kujizoesha kuwachana nao.Kabla kusikia hoja zangu nyinyi...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Watanzania wenzangu nimekuwa nikitafakari sana jinsi Muungano wetu usivyo na USAWA kati ya washiriki wawili wa Muungano huu. Kuna mambo mengi yasioleta usawa katika Muungano huu na mojawapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanafunzi sita, mwalimu wanaswa kughushi vyeti Send to a friend Sunday, 16 May 2010 21:20 0 diggs digg Mkinga Mkinga WATAHINIWA sita wa mtihani wa ualimu Daraja A, wamekamatwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba waliokuwa wanafuatilia discussions hii kule kwenye utani na udaku basi waje hapa tuzungumze mambo serious.... tuendelee tukianzia na Katabazi Originally Posted by WomanOfSubstance @...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikia summary ya mageziti kisa kimoja kinachofanya nijiulize umakini,uharaka, uwajibikaji wa utendaji wa polisi na watu wanaotakiwa kulinda usalama wa raia In sumary ya kisa ni hivi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kabla ya kutoa hiyo Khutba juu ya ufalme,Yesu alisoma maneno haya katika Maandiko, ''Mtakuwa kwangu falme ya mapadri,watu watakatifu. Yahweh ni mwamuzi wetu,Yahweh ndiye anayetupa sheria. Yahweh...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi, Kimwili, Kiakili, Kihisia na Kiroho!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wateja wanaotumia king'amuzi toka starmedia inakuwa kero kwani picha zinakwamakwama sana kiasi cha kuchosha na kufikiria kutolipia tena. Kama mnatusikia fanyieni kazi hili suala kwani wateja...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ziko wapi nyimbo za injili!??? jamani nimezimiss.... Au ni mimi peke yangu wadau...!??
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…