BENJAMIN MKAPA SPECIAL ECONOMIC ZONE,ufafanuzi

BENJAMIN MKAPA SPECIAL ECONOMIC ZONE,ufafanuzi

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
16,280
Reaction score
20,832
8D6U5347.jpg

rais jakaya mrisho kikwete akiwa na rais wa awamu ya tatu bw.ben mkapa wakitembelea baadhi ya maeneo ya ukanda maalum wa uwekezaji kwaajili ya kuuza nje(benjamin william mkapa special economic zone)huko mabibi ubungo jijini dar asubuhi leo.rais kikwete alifungua rasmi ukanda huo mpya wa uwekezaji.
source:michuzi

swali langu:huu ukanda maalum wa uwekezaji kwa ajili ya kuuza nje unamilikiwa na nani?serikali au ben mkapa&co?.na ni kwa manufaa ya nani?naomba mwenye jibu tueleweshane plz.
 
naye mkapa sijui kaweka ninini mfukoni limetuna vibaya sana...au kaweka visheti vya kutafuna wakati wa ufunguzi ...Ben ananipa raha sana yaani ana roho ngumu vibaya sana.Kama ni beki basi ni Lucio yaani kabana mpaka leo hajajibu shutuma hahaaaaaaa
 
Yule askari (body guard) wa raisi wakati wote huwa amebeba mkoba! Hivi mkulu akiaguka anaweza kumdaka kweli.......kwanini asiache kwenye gari walinzi wakalinda vyote?
 
Yule askari (body guard) wa raisi wakati wote huwa amebeba mkoba! Hivi mkulu akiaguka anaweza kumdaka kweli.......kwanini asiache kwenye gari walinzi wakalinda vyote?

Home B........nasikiaga kwamba huyo sio body guard.....anaitwa Aide de Camp(ADC)..........Kubeba mikoba ni mojawapo ya kazi zake
 
Home........nasikiaga kwamba huyo sio body guard.....anaitwa Aide de Camp(ADC)..........Kubeba mikoba ni mojawapo ya kazi zake

OK sasa anabeba ya nini wakati wote? Si aweke kwenye gari kama mkulu haihitaji!
 
haumilikiwi na mkapa. ni jina tu jengo la Benjamin mkapa pension fund (mafuta house). ILA TUNATUMAINI TUTAPATA NA INGINE YA JAKAYA MRISHO KIKWETE SPECIAL EXPORT ZONE, kwasababu pamoja na kwamba mkapa ametuhumiwa na mengi, kuna mazuri mengi yanayoonekana kayafanya kuliko huyu mtani wetu.
 
ila viongozi wetu kwa kuzinduazindua vitu,hivi wanaonaga sifa ehee, kitu kidogo tu wameshaitwa kuzindua...changa la macho kwa wananchi tu.
 
Back
Top Bottom