Star tv Decoder

Star tv Decoder

Azikiwe

Senior Member
Joined
Nov 13, 2009
Posts
190
Reaction score
20
Habari watu wa JF?

Natanguliza samahani kuwa kichwa kilipashwa kusomeka Star Times Decoder

Kwa watumiaji wa Decoder za Star Times, naomba nisikie maoni yenu juu mambo haya:

1) Stations nyongi huwa hazipatikani kwa muda fulani fulani.
2) Vipindi vinavyoonyeshwa hujirudia mara kwa mara, yaani ni kama vile wanatuonyesha mikanda fulani!
3) Vipindi vinavyoonyeshawa ni vya siku nyingi mno!
4) Je kuna usalama hapa kweli? Au ndiyo usanii kama kawaida? Au ndiyo yale yale ya GTV?
5) Sasa tunafanyaje ili kuepuka na matatizo mbele ya safari?
 
Ni kweli stesheni nyingi hazionekani na ukiwauliza wanadai ni antena yako ndo ina matatizo au eneo ulilopo sio zuri.Hapa hakuna cha kufanya kwa vile sina uhakika kama hizo decoder zina warannty.Ndio kusema hapa ni hasara tu.
 
Hawa wanaleta yale yale ya GTV,bongo bwana.
 
kuhusu hilo la vipindi kujirudia rudia hata mimi nimeliona. nadhani tunarudi kulekule tulikotoka.
 
Jamani mnatuogopesha sisi ambao tunaplan kununua kama nivimeo mtushtue tusiingie mkenge wote.kweli nchi imekua shamba la mgumba
 
Habari watu wa JF?

Natanguliza samahani kuwa kichwa kilipashwa kusomeka Star Times Decoder

Kwa watumiaji wa Decoder za Star Times, naomba nisikie maoni yenu juu mambo haya:

1) Stations nyingi huwa hazipatikani kwa muda fulani fulani.
2) Vipindi vinavyoonyeshwa hujirudia mara kwa mara, yaani ni kama vile wanatuonyesha mikanda fulani!
3) Vipindi vinavyoonyeshawa ni vya siku nyingi mno!
4) Je kuna usalama hapa kweli? Au ndiyo usanii kama kawaida? Au ndiyo yale yale ya GTV?
5) Sasa tunafanyaje ili kuepuka na matatizo mbele ya safari?

Yote uliyotaja hapo juu ni sahihi

  1. Station zao zinakwama kwama picha na sauti
  2. Channel zao lugha inayosemwa ni Kichina na Kifaransa Je huu ni uungwana !!!!!!!!!!
  3. Audio ya channel ten imechanganywa na Radio, Picha na sauti havielewani
  4. Channels wanazoonyesha ni FTA (Free To Air) From Eutelsat 2wA 10deg.E mwenye bidii ajaribu
  5. Hawana Anwani wachina hawa kama kuna mtu anawafahamu alete habari zao Tuwafamishe matatizo yao
Nimejaribu kutafuta website yao zijafanikiwa
 
Jamani mnatuogopesha sisi ambao tunaplan kununua kama nivimeo mtushtue tusiingie mkenge wote.kweli nchi imekua shamba la mgumba

Yani havina raha yoyote kuvitazama hasa vinapokwamakwama na zile channels zinaonyesha no service muda wote.Ni kero kubwa kwa kweli.
 
Yote uliyotaja hapo juu ni sahihi

  1. Station zao zinakwama kwama picha na sauti
  2. Channel zao lugha inayosemwa ni Kichina na Kifaransa Je huu ni uungwana !!!!!!!!!!
  3. Audio ya channel ten imechanganywa na Radio, Picha na sauti havielewani
  4. Channels wanazoonyesha ni FTA (Free To Air) From Eutelsat 2wA 10deg.E mwenye bidii ajaribu
  5. Hawana Anwani wachina hawa kama kuna mtu anawafahamu alete habari zao Tuwafamishe matatizo yao
Nimejaribu kutafuta website yao zijafanikiwa
Kuhusu hapo channel ten,Bonyeza remote yako sehemu imeandikwa track wakati ushai-select na sauti itabadilika.
 
Hawa Startime ofisi zao ni pale TBC1 ndio HQ yao.
 
Ni kweli stesheni nyingi hazionekani na ukiwauliza wanadai ni antena yako ndo ina matatizo au eneo ulilopo sio zuri.Hapa hakuna cha kufanya kwa vile sina uhakika kama hizo decoder zina warannty.Ndio kusema hapa ni hasara tu.

Duh! Sasa antena inakuwaje na matatizo halafu wakati mwingine (siku nyingine) zinaonekana fresh?
Kudaadeki kwa hiyo bongo inaendelea kuwa jalala tu!?
 
Kuhusu hapo channel ten,Bonyeza remote yako sehemu imeandikwa track wakati ushai-select na sauti itabadilika.

Ni magic Fm Mkubwa, c Radio One. Na dawa yake ndiyo hiyo uliyopewa na Cherity hapa.
 
Kuna siku nilikaa bar na jamaa zangu kama tisa hivi...one of them alikuwa amempigia sales agent wa hiyo star times amletee decoder pmpja na antena ready for installation. Waliponidokeza malipo kuwa ni Tsh. 9,000 kwa mwezi (kama kumbukumbu zangu ni sahihi) nikawaambia hao ni matapeli...channel watakazo kuwa nazo nahisi zitakuwa ni channel za free.

Baada ya muda jamaa wa Star times akafika na kutugawia brochure zao, baada ya kuipitia nikawaambia jamaa zangu pale pale live bila cheenga kwamba wasisubutu kununua kwani channel zote walizozionesha kwenye brochure zao ni free channel ambazo mtu yoyote akiwa na dish na decoder e.g. ya Strong anapata hizo channel plus many more without any monthly payments.

Jamaa selling point yao ni kwamba wataonyesha mechi zote za kombe la dunia........cha kustaajabisha wataonesha kupitia TBC1 ambayo ni free channel (unaipata hata kwa antena ya 'chadema' zinazouzwa kwa tsh. 2000 uswahilini.

Jamaa mmoja akajifanya mbishi na kununua hizo equipments for Tsh. 80,000.

Baada ya siku tatu..........akanipigia simu akisema channel sometimes hazipatikani.......baadhi ya siku anapata channel 3 tu ambazo ni TBC1, BBC na CCTV.

I will stick to DSTV though the monthly charge stand at tsh. 108,000 (which is on the high side by every standard) until I get a better deal.

Mnaojaribu ku compare GTV na hawa matapeli wa Star Times sidhani kama mko sahihi, kwa maoni yangu GTV was super, ni economic meldown tu ndo iliwatikisa na kuwaondoa sokoni.

My free advice: Cheap is expensive
 
Kuna siku nilikaa bar na jamaa zangu kama tisa hivi...one of them alikuwa amempigia sales agent wa hiyo star times amletee decoder pmpja na antena ready for installation.

I will stick to DSTV though the monthly charge stand at tsh. 108,000 (which is on the high side by every standard) until I get a better deal.

Mnaojaribu ku compare GTV na hawa matapeli wa Star Times sidhani kama mko sahihi, kwa maoni yangu GTV was super, ni economic meldown tu ndo iliwatikisa na kuwaondoa sokoni.

My free advice: Cheap is expensive
hehehehee! yani hapo kwenye red umepatia kweli.Ndio maana wachina wametuteka kisawasawa na feki zao kwa vile tuna-entertain cheap things.
 
Last week ndo nimepewa nisome brochure yao, nashukuru kwa kunifumbua macho, kweli cheap ni expensive. Jamani hawa watu tuwatazame kwa jicho la tatu watatumaliza.
 
.....star media ...imefulia,waongo,hawana jipya.....hawana ubora...bora uwe na dish la free,au la kulipia
 
jamani jamani utapeli utaisha lini hapa tanzania jamani nani atamtetea mtanzania ikiwa tulowapa dhamana wanashirikiana na wezi kutuibia mchana kweupe
 
Back
Top Bottom