Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

The Creator has given us a decision to make.We must choose between one of two choices; choose life or death. We must choose either to obey and love Him by living a life of lovingkindness, justice...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mke wa rais wa jamhuri ya muungano wa tanganyika mama salma kikwete amewaonya wanafunzi kuwa macho na MAFATAKI...akiongea na wanafunzi wa shule ya JANGWANI SEC mama kikwete amesema anawaomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
28th April 2010 Ofisa mwandamizi wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), anatuhumiwa kubadili vipuri vya gari la serikali na kuvipachika kwenye gari lake. Hatu hiyo imefuatia kigogo mwingine...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1)pray your heart out. Ask God to reveal to you your shortcomings as her husband. This is hard to do because it hurts our pride. 2)APOLOGIZE for those things, no matter how insignificant they...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Majority of Ugandans do not believe in travel and holidays. We look at things in terms of money spent, period. We never look outside the box; as in, how much money does a relaxed mind translate...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya watu wanaoambukiza-ambukiza virusi vya ukimwi makusudi-cally. Je, Wana JF, sheria kwa sasa inasemaje. Kuna mama mmoja amefiwa na mmeo kwa hilo gonjwa hafu yeye anahama maeneo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Muda si mrefu nilikuwa natazama kipindi maalum itv. Wataalam toka manispaa ya k'ndoni na wizara ya afya wakaichambua hospitali ya sino ya wachina iliyo sinza ambayo wameifunga. Wakachambua...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Mimi ni mpenzi wa kufuatilia habari za kimataifa kupitia vyombo hivyo,lakini nimegundua kuwa kituo cha aljazeera cha mashhatiki ya kati ni kiboko kwa vyombo vya habari vya kimataifa katika habari...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Binti wa Kiingereza Colette Armand kulia akiwa na mume wake mtarajiwa Meitkini Binti wa Kiingereza ambaye kutokana na utajiri mkubwa wa baba yake, alizoea maisha ya kifahari akisafiri nchi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wanandugu waishio tankibovu na pembezoni, Kama hujafika nyumban jitahdi ununue ma buti ya plastic kama yanapatikana. Huku karibu kila nyumba maji yameingia ndani ukipata bahati ndio unaweza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu,nimekuwa tika mzunguko wa kikazi ulionifanya nizunguke nchi yetu takribani mikoa sita mfululizo,mara,mwanza,shinyanga,kagera,kigoma na rukwa. Kikubwa nilichogundua ni kuwa kuna utitiri wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Helo wanaJf, Nakumbuka gazeti hili lilifungiwa miezi mitatu toka January 11 kama sikosei ambapo miezi mitatu imeshapita. Je kuna habari zoztote kuhusu gazeti hili kurudi mitaani au ndio...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Maoni ya katuni Kwenye ukurasa wa kwanza wa gazeti hili toleo la leo, Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Emanuel Ole Naiko, amekaririwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAKAZI wawili wa Jiji la Dar es Salaam jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya wilaya Kinondoni wakikabiliwa na tuhuma za kujipatia fedha baada ya kudai kwamba wana uwezo wa kumfufua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Swala la maofisa wa kenya kuwakamata baadhi ya wanafamilia wa emirates imeingia katika hatua mpya baada ya uongozi wa emirato kutuma waraka unaoonyesha wakenya watakaoruhussiwa kuingia dubai ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo jumanne tarehe 27/4/2010 ndiyo siku ambayo wahadhiri wote wa vyuo vya umma nchini wanaanza mgomo wao wakiwa na madai mbali mbali. Kulikuwa na wasiwasi kwamba hawa jamaa wanatingisha kiberiti...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha DSM wameamua kuanza mgomo usiokua na kikomo kupinga mafao duni pamoja na madai mengine. Kazi imebaki kwetu wafanyakazi ifikapo Mei tano kumfunga paka kengele.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu dada ni mwizi wa mtandaoni! Kuweni makini wana JF.... Soma uongo wake huo hapo chini.... Kafulia kweli kweli..... My Dearest Sweetheart, I know this mail will come to you as a surprise...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mkurugenzi mtendaji (DED) wa wilaya Bunda mkoani Mara Bw. Cyprian Oyeir ameelekeza kuwa pesa zilizotengwa kwa ujenzi wa nyumba yake ya kuishi Sh. 90ml zipelekwe katika kuboresha sekta ya elimu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nisaidieni, nahitaji shamba kwa ajili ya kilimo, Niliwahi kusikia kuna mashamba Morogoro Bwawani, Mimi nipo Dar, kwa yeyote anayepafahamu hapo anielekeze namna ya kufika, By the way mimi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom