Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,261
Kwa wateja wanaotumia king'amuzi toka starmedia inakuwa kero kwani picha zinakwamakwama sana kiasi cha kuchosha na kufikiria kutolipia tena. Kama mnatusikia fanyieni kazi hili suala kwani wateja hawatarudi kulipia. Pia hizo chanel za kifaransa hazitusaidii, labda mfanye tafsiri. Mjitahidi katika hayo. Tunahitaji mawimbi yasiyo na mawaa. Antena zetu ziko poa kabisa