Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Nimesikia summary ya mageziti kisa kimoja kinachofanya nijiulize umakini,uharaka, uwajibikaji wa utendaji wa polisi na watu wanaotakiwa kulinda usalama wa raia
In sumary ya kisa ni hivi mtoto alitekwa moshi na kupelekwa uganda. wazazi wakatakiwa watoe pesa kama kikombozi.
Kwa mujibu wa wazazi walikwenda polisi. Majibu ya kituo cha kwanza ilikuwa hiyo issue ni kubwa mno inahitaji watu wa makao makuu ????
Wazazi wakaenda kwa DC jibu walilopewa ni kuwa hayo ni masuala ya kiusalama/kipolisi. ???????????
wazazi wakaamua kuorganise resorucez zao wenyewe na kuchangiwa na ndugu na jamaa fwedha . wakaenda mpaka Uganda wakadeposit hela kwenye account kama walivyoagizwa na mtekaji waliyekuwa wanawasiliana naye mara kwa mara kwenye simu.
Baaada ya muda wakaelekezwa waende kituo cha basi fulani na kondakata akawakabidhi mtoto wao.
NB: Kondakta alisema kapewa huyo mtoto na mtu aliyemwambia kuwa atapokelewa na wazazi wake. so kondakta hana kosa. Na zaidi huyo mtoto kasema kawaacha wenzake watatu
kwa mujibu wa gazeti majibu ya polisi wa tanzania wamesema wazazi wa mtoto walikuwa wana haraka sana????
DUKU DUKU NA MAONI YANGU
Je utendaji wa polisi hapa ndio huu wakutoa majibu mepesi mepesi kwa issue nzito? Yaani mtu una tatuzo kubwa badala kituo cha kwanza unachoripoti kichukue issue unaambiwa nenda kule au nenda kule. Kwa nn hicho kituo ulicholiripoti kisiwajibike kuripoti hiyo issue urgent inapotakiwa?
Je kuna umuhimu wa kuwa na Ushirikiano wa Afrika mashariki ikiwa issue ndogo kama hii polisi wa TZ wameshindwa kuorganise resources zao na za waganda kuwakamata wahusika?
Je Jeshi la Polisi limepewa haki ya kuwa uwezo wa kufanyia utafiti na uchunguzi kwenye makampuni yetu ya simu( Zain , Celtel, Tigo, TTCL). Mfano kujua mtu mwenye IMEI no fulani alibadilisha chip ya number 07xxxxx tarehe fulani na alipiga simu akiwa maeneo fulani kuwasiliana na jamaa XYZ. Nadahni hili ni rahisi sana na linaweza kukatama wahalifu kwa kasi kirahisi kwa kasi hata ambayo hata Jeshi litashangaa.
In sumary ya kisa ni hivi mtoto alitekwa moshi na kupelekwa uganda. wazazi wakatakiwa watoe pesa kama kikombozi.
Kwa mujibu wa wazazi walikwenda polisi. Majibu ya kituo cha kwanza ilikuwa hiyo issue ni kubwa mno inahitaji watu wa makao makuu ????
Wazazi wakaenda kwa DC jibu walilopewa ni kuwa hayo ni masuala ya kiusalama/kipolisi. ???????????
wazazi wakaamua kuorganise resorucez zao wenyewe na kuchangiwa na ndugu na jamaa fwedha . wakaenda mpaka Uganda wakadeposit hela kwenye account kama walivyoagizwa na mtekaji waliyekuwa wanawasiliana naye mara kwa mara kwenye simu.
Baaada ya muda wakaelekezwa waende kituo cha basi fulani na kondakata akawakabidhi mtoto wao.
NB: Kondakta alisema kapewa huyo mtoto na mtu aliyemwambia kuwa atapokelewa na wazazi wake. so kondakta hana kosa. Na zaidi huyo mtoto kasema kawaacha wenzake watatu
kwa mujibu wa gazeti majibu ya polisi wa tanzania wamesema wazazi wa mtoto walikuwa wana haraka sana????
DUKU DUKU NA MAONI YANGU
Je utendaji wa polisi hapa ndio huu wakutoa majibu mepesi mepesi kwa issue nzito? Yaani mtu una tatuzo kubwa badala kituo cha kwanza unachoripoti kichukue issue unaambiwa nenda kule au nenda kule. Kwa nn hicho kituo ulicholiripoti kisiwajibike kuripoti hiyo issue urgent inapotakiwa?
Je kuna umuhimu wa kuwa na Ushirikiano wa Afrika mashariki ikiwa issue ndogo kama hii polisi wa TZ wameshindwa kuorganise resources zao na za waganda kuwakamata wahusika?
Je Jeshi la Polisi limepewa haki ya kuwa uwezo wa kufanyia utafiti na uchunguzi kwenye makampuni yetu ya simu( Zain , Celtel, Tigo, TTCL). Mfano kujua mtu mwenye IMEI no fulani alibadilisha chip ya number 07xxxxx tarehe fulani na alipiga simu akiwa maeneo fulani kuwasiliana na jamaa XYZ. Nadahni hili ni rahisi sana na linaweza kukatama wahalifu kwa kasi kirahisi kwa kasi hata ambayo hata Jeshi litashangaa.