BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Wana JF ningependa kujua lengo la TBC1 na LAPF katika shindano la ndoto ambalo linaendeshwa na mama TERRY.Nia ya kipindi sijailewa vizuri kwani imekuwa ni kuonyesha umaskini tulionao watanzania au kusaidia kutatua matatizo ya jamii kama elimu etc au kuboresha biashara wazifanyazo washindani?Jee sisi watazamaji tupige kura kwa kuangalia kigezo gani?ubunifu,kutunza mazingira au kuangalia familia masikini zaidi ndio tuipe kura?mshindi atapata tsh 5m naomba maoni wana jf