Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Meaning of Manyara - TANAPA got it wrong By Thomas Ratsim Manyara was formerly the name given only to the Lake with an area of 231 square kilometres In 1960s it became the name of the 329...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
KATIKA GAZETI LA RAIA MWEMA Toleo No. 132 LA TAREHE 5 MEI 2010, IPO HABARI KUWA MTENDAJI MKUU WA TANROAD NDG EPHRAIM MREMA ANAWADHARAU VIONGOZI WA WIZARA YA MUINDO MBINU. MIEZI YA NYIUMA KIDOGO...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa hakika wafanyakazi wa Tanzania hatuna kiongozi, na hatutakaa tupate haki zetu hata kwa dawa. Napendekeza huyo kiongozi wetu ajiuzulu baada ya kutudanganya watanzania kama watoto. Mambo ambayo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
He was my best friend Or that's what I called him He was never afraid So 'kidume' they called him but he died..:angry: It was this Friday The night to Saturday He was out on his way To catch some...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika natamani VOLCANO IENDELEE KUTOKEA WAKOSE SAFARI ZA NDEGE WAENDELEE NA MIKUTANO YAO... Watanzania wote mnaombwa hizi siku 4 ni za kumuomba MUNGU...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watu wanne kwa tuhuma ya kupatikana na silaha za mbili za kijeshi aina ya SMG zikiwa na risasi 492 kwenye treni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;"></td>...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Obama Adaiwa Kuisaliti Ndoa Yake Vera BakerMonday, May 03, 2010 3:47 AM Rais Barack Obama wa Marekani amekumbwa na skendo la kuisaliti ndoa yake kwa kujivinjari na mwanamke aliyekuwa mstari wa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametoa onyo kwa watu wanaojihusisha na vitendo vya ukataji viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wasitisha mgomo uliopangwa kufanyika leo Wasema lengo kusubiri kikao cha Jumamosi Rais wake asema wanajipanga kujibu hoja Rais wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bidhaa feki zamkera Rais Kikwete Rais Jakaya Kikwete, amesema bidhaa feki zinazoingizwa nchini, zimekuwa kero katika maeneo mbalimbali na kuwataka wadau, wakiwamo wafanyabiashara na wawekezaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani nielewesheni hawa jamaa wameanzia wapi maana kila kukicha kunazaliwa wapya au kwa kuwa uchaguzi unakaribia walikuwepo wapi miaka yote au ndio wameona makula ni hapo ha wao. maana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
K wa wale mnaopitishwa na vingora tunawashauri si mnaenda huko game kusalimiana kuchekeleana ama kusifiana suti zenu bomba mmenua nua wapi ama yale mattoto ya rwanda yana shepu jamani nawashauri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kweli karibu mgeni apone imeendelea hadi kwenye upande wa kirooho pale watanzania wanapolazimikakuamka mapema asbh na hivyo kufika mapema mjini kutokana na kukosa cha kufanya na milango kufungwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hotuba ya mheshimiwa JK aliyoitoa kwa wazee wa Dar inasemekana iliandaliwa kimakosa na watendaji wake. kutokana na habari zisizo na uhakika inadaiwa kuwa hotuba hiyo iliandaliwa maalum kwa mh...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo kweli nimeamini Watanzania wanaweza kuwahi maofisini..hakuna cha anaepanda dala dala wala mwenye gari binafsi, watu wengi leo (Wa Dar) wamefika maofisini kabla ya saa moja asubuhi..mnaonaje...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Sina hamu ya kupost ,sina hamu ya kazi ...kichwa hakifanyi kazi kabisa .. May .....Jun,July August,Sept....October ......October ... Hapa sijui anawaza nini??
0 Reactions
106 Replies
9K Views
Mi nikijaribu kuangalia maisha yalivyo magumu kila kitu a ghali shilingi nayo kupata ni shida halafu mweshimiwa ndio hivyo ameshapiga bonge la bit kwa yeyote atakayegoma kazi hakuna na viongozi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi biashara zinaendelea kama kawaida au mall ndio imefungwa kupisha mkutano wa kimataifa?
0 Reactions
35 Replies
4K Views
WAZEE zaidi ya 1,000 waliokuwa wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete juzi kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee walikuwa wakimshangilia mara kwa mara, lakini si Bi Asha Omary, 70, aliyekuwa kijijini...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom