Meaning of Manyara - TANAPA got it wrong
By Thomas Ratsim
Manyara was formerly the name given only to the Lake with an area of 231 square kilometres In 1960s it became the name of the 329...
KATIKA GAZETI LA RAIA MWEMA Toleo No. 132 LA TAREHE 5 MEI 2010, IPO HABARI KUWA MTENDAJI MKUU WA TANROAD NDG EPHRAIM MREMA ANAWADHARAU VIONGOZI WA WIZARA YA MUINDO MBINU.
MIEZI YA NYIUMA KIDOGO...
Kwa hakika wafanyakazi wa Tanzania hatuna kiongozi, na hatutakaa tupate haki zetu hata kwa dawa. Napendekeza huyo kiongozi wetu ajiuzulu baada ya kutudanganya watanzania kama watoto. Mambo ambayo...
He was my best friend
Or that's what I called him
He was never afraid
So 'kidume' they called him
but he died..:angry:
It was this Friday
The night to Saturday
He was out on his way
To catch some...
Kwa yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika natamani VOLCANO IENDELEE KUTOKEA WAKOSE SAFARI ZA NDEGE WAENDELEE NA MIKUTANO YAO...
Watanzania wote mnaombwa hizi siku 4 ni za kumuomba MUNGU...
Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watu wanne kwa tuhuma ya kupatikana na silaha za mbili za kijeshi aina ya SMG zikiwa na risasi 492 kwenye treni...
Obama Adaiwa Kuisaliti Ndoa Yake
Vera BakerMonday, May 03, 2010 3:47 AM
Rais Barack Obama wa Marekani amekumbwa na skendo la kuisaliti ndoa yake kwa kujivinjari na mwanamke aliyekuwa mstari wa...
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ametoa onyo kwa watu wanaojihusisha na vitendo vya ukataji viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi...
Bidhaa feki zamkera Rais Kikwete
Rais Jakaya Kikwete, amesema bidhaa feki zinazoingizwa nchini, zimekuwa kero katika maeneo mbalimbali na kuwataka wadau, wakiwamo wafanyabiashara na wawekezaji...
jamani nielewesheni hawa jamaa wameanzia wapi maana kila kukicha kunazaliwa wapya au kwa kuwa uchaguzi unakaribia walikuwepo wapi miaka yote au ndio wameona makula ni hapo ha wao.
maana...
K wa wale mnaopitishwa na vingora tunawashauri si mnaenda huko game kusalimiana kuchekeleana ama kusifiana suti zenu bomba mmenua nua wapi ama yale mattoto ya rwanda yana shepu jamani
nawashauri...
Kweli karibu mgeni apone imeendelea hadi kwenye upande wa kirooho pale
watanzania wanapolazimikakuamka mapema asbh na hivyo kufika mapema mjini
kutokana na kukosa cha kufanya na milango kufungwa...
Hotuba ya mheshimiwa JK aliyoitoa kwa wazee wa Dar inasemekana iliandaliwa kimakosa na watendaji wake. kutokana na habari zisizo na uhakika inadaiwa kuwa hotuba hiyo iliandaliwa maalum kwa mh...
Leo kweli nimeamini Watanzania wanaweza kuwahi maofisini..hakuna cha anaepanda dala dala wala mwenye gari binafsi, watu wengi leo (Wa Dar) wamefika maofisini kabla ya saa moja asubuhi..mnaonaje...
Sina hamu ya kupost ,sina hamu ya kazi ...kichwa hakifanyi kazi kabisa ..
May .....Jun,July August,Sept....October ......October ...
Hapa sijui anawaza nini??
Mi nikijaribu kuangalia maisha yalivyo magumu kila kitu a ghali shilingi nayo kupata ni shida halafu mweshimiwa ndio hivyo ameshapiga bonge la bit kwa yeyote atakayegoma kazi hakuna na viongozi...
WAZEE zaidi ya 1,000 waliokuwa wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete juzi kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee walikuwa wakimshangilia mara kwa mara, lakini si Bi Asha Omary, 70, aliyekuwa kijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.