Na mimi nilipita pale, nikapigwa butwaa, nikadhani ya Arusha yamehamia huku. Ukweli ni ugomvi wa humo ndani ya msikiti. Kuna madai fedha zitokanazo na miradi ya msikiti zimeliwa. Kuna wanaoamini ndani ya msikiti kuna watu wamepandikizwa na CHADEMA(ooops) tena wanadaiwa ni Makafiri(wakristo) ambao ndio wanafisadi hizo hela kwa kushirikiana na uongozi wa Msikiti. Ilikuwa pata shika lakini Polisi wakati huu waliwahi na kufanya kazi yao ya kulinda usalama. Sijapata habari ya majeruhi.
Chokochoko katika Msikiti wa Mwenge ni za siku nyingi. Kuna kipindi wanakuwa na mihadhara mikali mikali kweli wakidai hili na lile. Mingi mihadhara hii ni kudhalilisha dini zingine, lakini pia ipo ya ya siasa, na mara nyingi inabidi kweli uwe mvumilivu kuendelea kuwa jirani na msikiti wakati wa mihadhara hii. Huwa natamani kuingia ndani niwashauri jinsi ya kujiendesha, lakini nikifanya hivyo nadhani sitakuwa na mapenzi mema na shingo yangu!
Na mimi nilipita pale, nikapigwa butwaa, nikadhani ya Arusha yamehamia huku. Ukweli ni ugomvi wa humo ndani ya msikiti. Kuna madai fedha zitokanazo na miradi ya msikiti zimeliwa. Kuna wanaoamini ndani ya msikiti kuna watu wamepandikizwa na CHADEMA(ooops) tena wanadaiwa ni Makafiri(wakristo) ambao ndio wanafisadi hizo hela kwa kushirikiana na uongozi wa Msikiti. Ilikuwa pata shika lakini Polisi wakati huu waliwahi na kufanya kazi yao ya kulinda usalama. Sijapata habari ya majeruhi.
Chokochoko katika Msikiti wa Mwenge ni za siku nyingi. Kuna kipindi wanakuwa na mihadhara mikali mikali kweli wakidai hili na lile. Mingi mihadhara hii ni kudhalilisha dini zingine, lakini pia ipo ya ya siasa, na mara nyingi inabidi kweli uwe mvumilivu kuendelea kuwa jirani na msikiti wakati wa mihadhara hii. Huwa natamani kuingia ndani niwashauri jinsi ya kujiendesha, lakini nikifanya hivyo nadhani sitakuwa na mapenzi mema na shingo yangu!
dini nyingine tabu tupu sipati picha ndio wangekuwa super power nadhani 'makafiri' tusingekuwepo duniani.
Senkiu odoNami nimepita hapo Mwenge na kukuta ni vurugu tupu. Nilipouliza nimeelezwa kuna mgogoro kati ya viongozi wa dini wa Misikiti midogo ya eneo la Mwenge/Kijitonyama na viongozi wa Msikiti wa Ijumaa wa Mwenge. Watu walikuwa wanaeleza kuwa Viongozi wa Msikiti wa Ijumaa wa Mwenge wamehodhi mapato ya pango yanayotokana na vibanda vinavyozunguka msikiti huo, na hivyo viongozi wa Misikiti midogo wanasema wanasikia harufu ya ufisadi!! Nilisikia kuwa Mbunge wa Ubungo Ndugu Mnyika yuko huko ndani msikitini na viongozi wa mtaa wakijaribu kusuluhisha hili na lile. Mazingira hayakuwa mazuri ikabidi niondoke kwani mawe yalianza kurushwa nikaogopa ki corolla changu kisivunjwe vioo!! Nawasilisha, nikipata habari zaidi au fafanuzi wa kina nitawajulisha.
dini nyingine tabu tupu sipati picha ndio wangekuwa super power nadhani 'makafiri' tusingekuwepo duniani.
Mtafaruku wa Sumbawanga sio wa kugombea mapato!.., mbona Sumbawanga watu wamekuwa na mtafaruku na kanisa na hakuna aliyeisema dini husika.
Kiraka sioni ni busara kumtukana mwenzio ni vyema ushauri aachane na hayo maswala ya udini maana hata hapo unaposema sumbawanga kama unarfuatilia media vyema soma gazeti la Al Nuur la Ijumaa iliyopita upate udini uliojiri pale. sema tu tuache kuingiza maswala ya kuhusisha dini au chama fulani cha siasa katika mambo ya msingi.
StereotypeWaacheni watwangane.
Uzi hauna mashiko.