Yalioshangaza Manesi Muhimbili leo Kuhusu Bosi wangu

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Wandugu habari zenyu bana,

Leo asubuhi tume report kazini kama kawaida, tukiwa tunaanza kazi tulisikia kishindo kwenye ngazi, tukakimbia kuangalia ni nini hicho kwa vile jengo letu ni lizee isikute linaporomoka.

Tulimkuta boss wetu chini kaanguka tukampakia kwenye gari kumkimbiza Muhimbili kwa vile alikuwa amezimia. Tukiwa njiani aliaamka na kuanza kung'ang'ania kiuno chake kwa nguvu tulijua basi atakuwa ameumia sana. Tulijitahidi kumwarakisha hopsitalini kumpunguzia maumivu tulivyofika reception katu alikataa kushuka kwenye gari wahudumu wakambeba juuu juu, bado akawa ananyonga kiuno. Basi manesi wakaanza kumfungua haraka kucheki kama kuna injury bado akakataa na kulia kwa sauti kubwa kwenye bible wangesema kuu.

Ikabidi wamchome sindano ya usingizi kwa kumlazimisha alivyolala wakamcheki wakamkuta ana hirizi mbili nyeusi kubwa upande wa kulia na kushoto. Tulimshangaa sana kwa sababu ni msomi mzuri ana masters ya finance na ACCA as an added advantage to this organization.

Kwa sasa amelazwa kwa uchunguzi zaidi ila wa awali unaonyesha mapigo ya moyo yako juu sana.
 
Kumbe yule mwenye duka unalofanya kazi ni mshirikina?
kwanini umeamua kuja kumsema hapa kwenye halaiki?
Au ndio njia yako ya kudai nyongeza ya mshahara?
 
hii noma huyo ni mmoja wao mfano tosha hiyo ndiyo iliyomuweka hapo juu

Ni imani tu sidhani mkuu kama alikuwa educationless angepata kazi?

Kumbe yule mwenye duka unalofanya kazi ni mshirikina?
kwanini umeamua kuja kumsema hapa kwenye halaiki?
Au ndio njia yako ya kudai nyongeza ya mshahara?

Sio kumsema kutoa fundisho na wewe pia uwache kuvaa hirizi sio nzuri

Jamani ndio dini zetu waafrica!

Ila zimepitwa na wakati

zitakua shanga sio hirizi. nesi kanambia.

Naona unapenda kweli shanga, sio shanga hirizi ya square
 
Kumbe ndo mambo hayo,ngoja nikatafute hizo manake haya mambo ya kutopanda vyeo na madegree mawili kutakuwa kuna mkono wa mtu..........kumbe degree si issue??ila ni kweli bwana hata mimi ofisi nilikyokuwa nafanya kazi hapo nyuma bosi alikuwa akiwaleta wazee wetu wa bagamoyo kuja kuweka ulinzi na kumwambia nani adui yake pale ofisini.....its there!
 
Duuuu hiii kazi sasa kinachomuuma nikuwa amekutana na kubwa zaidi eeeeh!
Raha iko wapi sasa tunapowaambia yesu ni shuruhisho mnagoma!
 
Kumbe ndo mambo hayo,ngoja nikatafute hizo manake haya mambo ya kutopanda vyeo na madegree mawili kutakuwa kuna mkono wa mtu..........kumbe degree si issue??ila ni kweli bwana hata mimi ofisi nilikyokuwa nafanya kazi hapo nyuma bosi alikuwa akiwaleta wazee wetu wa bagamoyo kuja kuweka ulinzi na kumwambia nani adui yake pale ofisini.....its there!

:smile-big::smile-big: Trust in God .......achana na hayo mumeo akikukuta nayo talaka utasema nayo

Hivi huwa wanaenda msikitini/kanisani na hivyo vidude vyao jamani.

Kuna baadhi ya maeneo ya kuabudu huwezi kuingia navyo utadondoka chini

Duuuu hiii kazi sasa kinachomuuma nikuwa amekutana na kubwa zaidi eeeeh!
Raha iko wapi sasa tunapowaambia yesu ni shuruhisho mnagoma!

Big point bro.
 
kekundu kekundu....... kekundu kekundu........ ha ha ha .....
 
Wandugu habari zenyu bana,

Leo asubuhi tume report kazini kama kawaida, tukiwa tunaanza kazi tulisikia kishindo kwenye ngazi, tukakimbia kuangalia ni nini hicho kwa vile jengo letu ni lizee isikute linaporomoka.

Tulimkuta boss wetu chini kaanguka tukampakia kwenye gari kumkimbiza Muhimbili kwa vile alikuwa amezimia. Tukiwa njiani aliaamka na kuanza kung'ang'ania kiuno chake kwa nguvu tulijua basi atakuwa ameumia sana. Tulijitahidi kumwarakisha hopsitalini kumpunguzia maumivu tulivyofika reception katu alikataa kushuka kwenye gari wahudumu wakambeba juuu juu, bado akawa ananyonga kiuno. Basi manesi wakaanza kumfungua haraka kucheki kama kuna injury bado akakataa na kulia kwa sauti kubwa kwenye bible wangesema kuu.

Ikabidi wamchome sindano ya usingizi kwa kumlazimisha alivyolala wakamcheki wakamkuta ana hirizi mbili nyeusi kubwa upande wa kulia na kushoto. Tulimshangaa sana kwa sababu ni msomi mzuri ana masters ya finance na ACCA as an added advantage to this organization.

Kwa sasa amelazwa kwa uchunguzi zaidi ila wa awali unaonyesha mapigo ya moyo yako juu sana.

Mawakala wa shetani kwenye biashara, utawala wa nchi, majumbani, mwaka huu wataumbuka kusiko kawaida. Ni mwaka wa aibu ya kukata na shoka kwa mawakala wote wa shetani nchini Tanzania.
 
Mawakala wa shetani kwenye biashara, utawala wa nchi, majumbani, mwaka huu wataumbuka kusiko kawaida. Ni mwaka wa aibu ya kukata na shoka kwa mawakala wote wa shetani nchini Tanzania.

Bwana Nguli Polen sana
Labda halii hii tungemgeuza kikwete alipoanguka Jangwani akika asingetofautiana nae.hayo madudu ndio yanayowapeleka hapo walipo..labda kwa kifupi ukiwa kazini jitahdi kusimama na Mungu sana wengi wanaocheka na wewe wako na charms..hiyo cha mtoto boss wangu mmoja ofisi nilioacha kazi yeye alikuwa zake anaweka katikati ya sehemu za siri unaweza ona mateso gan ..huyu baada ya mwaka sijui kama ana bikira tena


ni msomi mzuri ana masters ya finance na ACCA as an added advantage to this organization.

ukimchunguza vizuri anaweza kuwa na PHD as added advantage
ya hayo madude..akipona muulizen vizuri rmbu nipe wd niko muhimbili hapa nikayalipue natangaza damu ay yesu wd nzima yakilipuka atakupa historia alipoyachukua...ntajie wd tu namba siitaji mi napita kutangaza moto wa YESU ndani joto lake atakuadithia


 
Jamani

Mbona Chenge alikutwa ndani ya Ukumbi wa Bunge akimwaga UPUPU Usiku


Watu wamezidi Ushirikina Japo wamesoma a.k.a ni Wasomi
 
Dah, huku makazini kuna mambo no wonder vijana kama nguli hawapandi cheo (shemejiiiiiiiiiiiiii) kumbe watu wana hirizi zinazopumua lol.
 
Duuuu hiii kazi sasa kinachomuuma nikuwa amekutana na kubwa zaidi eeeeh!
Raha iko wapi sasa tunapowaambia yesu ni shuruhisho mnagoma!
Nina Yesu...I don't need hirizi or anything

Psalm 91

1He that dwelleth in the secret place of the most High shall abide under the shadow of the Almighty.
2I will say of the LORD, He is my refuge and my fortress: my God; in him will I trust.
3Surely he shall deliver thee from the snare of the fowler, and from the noisome pestilence.
4He shall cover thee with his feathers, and under his wings shalt thou trust: his truth shall be thy shield and buckler.
5Thou shalt not be afraid for the terror by night; nor for the arrow that flieth by day;
6Nor for the pestilence that walketh in darkness; nor for the destruction that wasteth at noonday.
7A thousand shall fall at thy side, and ten thousand at thy right hand; but it shall not come nigh thee.
8Only with thine eyes shalt thou behold and see the reward of the wicked.
9Because thou hast made the LORD, which is my refuge, even the most High, thy habitation;
10There shall no evil befall thee, neither shall any plague come nigh thy dwelling.
11For he shall give his angels charge over thee, to keep thee in all thy ways.
12They shall bear thee up in their hands, lest thou dash thy foot against a stone.
13Thou shalt tread upon the lion and adder: the young lion and the dragon shalt thou trample under feet.
14Because he hath set his love upon me, therefore will I deliver him: I will set him on high, because he hath known my name.
15He shall call upon me, and I will answer him: I will be with him in trouble; I will deliver him, and honour him.
16With long life will I satisfy him, and shew him my salvation.
 
To handle such witch craft trophies, you need first to undergo certain evil procedures. Among of those procedures include killing Albino, sleeping with your daughter or mother or sodomize infants. As you violate these conditions means selling your life openly to people who gave you the trophies. Angeuliza kwanza.
 
aiseee, yani mtu hajiamini ye mwenyewe mpaka nguvu za ziada.
ukute hata mkewe hajui,huwa anaivaa kwenda kazini tu.
 
Hiyo ni safi sana,

Natamani wote wanaobebana na huo upuuzi wangeumbuka kama huyo Boss wa Nguli.

Ngoja alipe mshahara wa dhambi zake hapa hapa duniani kwani inawezekana hizo hirizi zilishapangua watu kibao. Leo ni zamu yake!
 
Back
Top Bottom