Nimefungua inbox yangu nikakuta emails hizi nikacheka sana, maana kwa harakaharaka kama una tamaa kweli wanaweza kukuingiza mjini hawa jamaa, maana kama hawapati watu wangeshaacha. actually this...
Habari za jioni wana JF
Ninaomba ushauri wenu wapendwa, nina shughuli hivi karibuni na ninatafuta a THANK YOU FOR COMING GIFT amabyo its not so costy but unique.
Natanguliza shikurani zangu...
Mtoto wa Kichina mwenye umri wa miaka minane akionyesha wazi hofu iliyotanda uso wake, alisimama pembeni ya barabara akiwa amefungwa minyororo na baba yake ambaye alikuwa akijaribu kumuuza mtoto...
Kabla sijaizoea JF mpya niliona kama taabu vile kuitumia lakini kwa sasa nimeona jinsi ilivyo nzuri kuliko ile ya mwanzo. Kwa sasa kuweka picha, ku-attach file n.k. ni rahisi na pia mwonekano wake...
WENYE KISWAHILI SANIFU FUNGUA HAPA AFU TOA JIBU!
http://2.bp.blogspot.com/_oEwMHFlnAzM/S6NE_XyTBEI/AAAAAAAABN0/3-gZeRDAxe4/s1600/Katuni%2BMarch%2B16.jpg
Wajumbe leo naomba niulize jambo nipate hekima zenu,
Miaka ya nyuma wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere jambo hili lilikuwa linawezekana, wanafunzi walilipiwa ada, walipewa fedha za matumizi...
Two days ago (25/05/2010) was the day of Africa. For those who are friends of Africa; will feel the amazement after watching this video. I have had a look on the video, and I like it. Click on...
Napenda kutoa taarifa za kusikitisha za kuondokewa na mwanachama,kada na kiongozi wa CCM kata ya mgwashi jimbo la bumbuli,Mama Krista Sheshe, aliyekuwa katibu wa CCM kata ya mghwashi, wilaya...
kutokana na kuporomoka kwa hela yetu ya madafu dhidi ya dola, bei za petroli na dizeli zimepanda hadi kufikia tsh 2000 kwa bukoba na tsh 1749 kwa dar kwa lita.hivi hali hii mpaka lini wajameni...
Wavuvi wa samaki katika Soko la Magogoni, Dar es Salaam wakiuza kitoweo hicho kwa wachuuzi baada ya kurejea kutoka kuvua. Kwa sasa samaki wadogo ndio wanaopatikana kwa wingi sokoni hapo. (Picha na...
Msajili wa hazina Mr godfrey msella amsema jana ATCL IMESHINDWA KUZALISHA HIVYO NJIA MUAFAKA NI KULIVUNJA NA KUUNDWA UPYA KAMA NIC..
MSELA ALITOA MAPENDEKSO HAYO KTKT KIKAO CHA KAMATI YA FEDHA...
.Walevi si watu kabisa wa kukabidhiwa madaraka popote kuanzia ngazi ya kaya mpaka ya kitaifa.
.Kila eneo ambalo kiongozi wake ni mlevi basi halina uwajibikaji na huwa limejaa malalamiko.
.Mafisadi...
Wana JF habari.
Jamani nipo katika harakati za kusaka Post grad au Masters katika fani za Procurement and logistics. Kwa taarifa fupi nilizonazo ni kwamba kipo chuo kimoja maeneo ya Chanika...
Nahisi kuna mchawi anamroga raisi wetu.
Kuanzia ameingia madarakani mauzauza yamekuwa yakimuandama kuliko raisi mwingine yeyoyote aliyemtangulia.
Mara rais wetu aanguke jukwaani, mara watu wamvae...
Shija Felician, Kahama
BUNDI mbaya wa tatizo la kudanganya umri sasa ameng'ang'ania kwenye tawi la vijana ndani ya CCM baada ya mwenyekiti wa jumuiya hiyo wilayani Kahama kutakiwa ajiuzulu kwa...
Yesu sasa akawaagiza wale watu kumi na mbili ambao walikuwa wamesikiliza azimio lake kuhusu ufalme kupiga magoti kumzunguka. Akaweka mikono yake juu ya kichwa cha kila mtume,kuanzia Judas Iscariot...
A group of young University of Dar-es-laam students have a developed an application that is yet to take the world by storm.The application which is run a by a web portal can search and help...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.