I felt my African fingers itch when I read Ayub Rioba and Peter Muthamias recent articles. Yes, African fingers, for that is how far one can go in defining things African! Well, let me...
KAZImobile inawapatia watu KAZI kwa kutumia simu za mkononi...
Kujiunga ni Rahisi sana.
Andika neno KAZI( acha nafasi) ikifuatiwa na aina ya kazi unayotafuta halafu utume kwenda 15522...
Hapa jf sometimes mtu anakuja na post akisema ana habari za
uhakika kwa jambo fulani lakini baadae hizo habari zikiwa tofauti hatupati
maelezo ya kutosha....
Mfano kuliwa na post zamani...
habari za kutwa,
Jamani,nalilia mji wangu,mji ambao upo kando kando ya bahari ya hindi,mji ambao ulikuwa mjii mkuu wakati wa ukoloni wa ujerumani,mji ambao una kila neema.lakini najiuliza wapi...
Wakuu nimepata habari leo kuna ajali ya basi la Najimunisa limeua lkn sijui ni wangapi na lilikuwa linaenda wa\pi ila barabara ni ya Dar Mza ila yawezakuwa lilikuwa linaenda Bukoba au...
Yawezekana mdomo wako una matusi kuanzia jumatatu mpaka jumamosi yawezekana unatoa lugha chafu ama mbofu mbofu jumatatu mpaka jumamosi na jumapili kutegemea kumsifu mungu kwa shangwe pole sana...
Kama kawaida kuona taarifa ya habari wana ccm wakikamatwa bila kuangalia vyeo vyao
leo hii tabiri nani atakamatwa na rushwa wakijiandaa kwenye mchakato halisi
Ndugu wa JF, nimepokea taarifa za kifo cha askari huyu "aliyejiua" baada ya kukosea kuelekeza msafara wa "RAHISI" wetu kule kwa ndugu zetu tarime. Uchungu nilionano ni mazingira ya utokeaji wa...
TANZANIA imetajwa katika ripoti ya Kipimo cha Hali ya Rushwa Afrika Mashariki (EABI), kuwa na taasisi zinazoongoza kwa rushwa kwa nchi za Afrika Mashariki.
Akizungumza na waandishi wa habari...
Wadau, Tangu jana simu za line mbili zimekuwa zikigoma kufanya kazi.... Utakuta line moja inakubali lakini ile ya pili inasema EMERGENCY... Jeh! Kuna mtu anaweza kujua source ya tatizo hili??? kwa...
Nimetaarifiwa kuwa kuna ajali imetokea hivi punde mjini kahama.Maiti 18 mpaka sasa zimefikishwa hospitali ya wilaya.
Mwenye habari zaidi atujuze tafadhali.
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro aliemkamata DC ahamishwa, ashushwa cheo.
Taarifa za uhakika zinasema kuwa kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro ambaye maafisa wake walimkamata Mkuu wa...
Siku zote magazeti yanayochapishwa na kampuni ya Habari Corporation chini ya mhariri mtendaji muhingo rweyemamu yamekuwa yakiandika habari zenye kutia shaka ile dhana ya weledi katika taaluma ya...
Inawezekana umasikini watanzania wengi walio nao ni mpango mahsusi wa watawala. Ndio nasema watawala na sii viongozi.
Fikiria kwa mfano watanzania wangejengewa mazingira bora ya ya kuwezesha kila...
Ndugu wana JF,
Sio lengo langu kuvurga biashara ya upigaji na usafishaji picha wa hawa ndugu wa Photo Point ya pale Mlimani City. Lengo tu ni kuwatahadharisha ndugu mnaoenda kupiga picha za...
Wamasai watano wakazi wa arusha,
jana waliuziwa viwanja baharini baada ya maji kupwa.
Wauzaji wa viwanja hivyo wanashikiliwa sentro, niko hapa nikiwa nipigwa na bumbuwazi maana nikiwa mdogo nlisha...
Habari zilizo nifikia sasa hivi ni kwamba Basi lilokuwa likisafiri kutoka Bukoba kuelekea Dar limepata ajali mbaya maeneo ya Kahama, ambapo inasemekana watu 29 wamefariki pale pale. Tafadhari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.