Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Habari zilizo nifikia sasa hivi ni kwamba Basi lilokuwa likisafiri kutoka Bukoba kuelekea Dar limepata ajali mbaya maeneo ya Kahama, ambapo inasemekana watu 29 wamefariki pale pale. Tafadhari aliyeko huko atupe taarifa ya majeruhi, na ikiwezekana majina ya walio kuwemo. Ee Mungu! Wasaidie! make ajali ni njia nyingine inayo maliza watu hapa Tz.