Boss wa Takukuru Kilimanjaro akiona cha moto

Domhome

JF-Expert Member
Jun 28, 2010
3,197
3,930
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro aliemkamata DC ahamishwa, ashushwa cheo.

Taarifa za uhakika zinasema kuwa kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro ambaye maafisa wake walimkamata Mkuu wa Wilaya ya Kasulu kwa tuhuma za kugawa rushwa hapo juzi, hivi leo amekabidhi barua ya kuhamishwa kituo chake cha kazi na kupelekwa mkoa mwingine lakini akiwa si kamanda tena bali afisa tuu wa kawaida.

Hii inatosha kuashiria kwamba HOSEAH amebanwa na mkuu wa kaya kwamba kwanini anawazalilisha wateule wake wa kutoka chama tawala, HOSEAH kumbe hana ujanja, na huyo mama hata mchakato wa kumfikisha mahakamani umesimamishwa.


Chanzo: Mmoja wa wafanyakazi wa Takukuru huko Kilimanjaro.
 
tetesi au kweli?
unayo hiyo copy ya barua uiweke hapa?

Mkuu nimesema chanzo ni kutoka mmoja wa wana takukuru Kilimanjaro. Bado anajitahidi angalau aidake hyo copy, akiipata basi ntawawekea.
 
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro aliemkamata DC ahamishwa, ashushwa cheo.

Taarifa za uhakika zinasema kuwa kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro ambaye maafisa wake walimkamata Mkuu wa Wilaya ya Kasulu kwa tuhuma za kugawa rushwa hapo juzi, hivi leo amekabidhi barua ya kuhamishwa kituo chake cha kazi na kupelekwa mkoa mwingine lakini akiwa si kamanda tena bali afisa tuu wa kawaida.

Hii inatosha kuashiria kwamba HOSEAH amebanwa na mkuu wa kaya kwamba kwanini anawazalilisha wateule wake wa kutoka chama tawala, HOSEAH kumbe hana ujanja, na huyo mama hata mchakato wa kumfikisha mahakamani umesimamishwa.

Chanzo: Mmoja wa wafanyakazi wa Takukuru huko Kilimanjaro.



Hili jamvi mmeshalifanya shamba la bibi vile!!! mtu anaweza kukurupuka tuu na kuweka habari zake alizoamua basi. Weka fact ili wajuzi watujuze mengi. SORRY!!
 
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro aliemkamata DC ahamishwa, ashushwa cheo.

Taarifa za uhakika zinasema kuwa kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro ambaye maafisa wake walimkamata Mkuu wa Wilaya ya Kasulu kwa tuhuma za kugawa rushwa hapo juzi, hivi leo amekabidhi barua ya kuhamishwa kituo chake cha kazi na kupelekwa mkoa mwingine lakini akiwa si kamanda tena bali afisa tuu wa kawaida.

Hii inatosha kuashiria kwamba HOSEAH amebanwa na mkuu wa kaya kwamba kwanini anawazalilisha wateule wake wa kutoka chama tawala, HOSEAH kumbe hana ujanja, na huyo mama hata mchakato wa kumfikisha mahakamani umesimamishwa.


Chanzo: Mmoja wa wafanyakazi wa Takukuru huko Kilimanjaro.

Sasa huyo mkuu wa kaya kwanini asimtimue Hosea?...maana mteule mwingine kadakwa Tabora je na kamanda wa huko ataadabishwa?
 
Wala sitashangaa iwapo habari hii itakuwa ni ya kweli. Maana hiyo ndo level ya juu kabisa ya uwezo wa serikali ya CCM katika kusimamia shughuli za kitaifa. Hata makamanda wa polisi ambao wamekuwa mstari wa mbele kupambana na majambazi wengi wao huwa wanaishia kufanyiwa haya haya. Kwa hiyo kama hili limefanyika Kilimanjaro basi hiyo ni sahihi kabisa, maana ndiyo hiyo ndiyo hasa kazi ya CCM. Kuwabana watenda kazi makini na kuwabeba mafisadi.
 
Nadhani hii imeshathibitika sasa. Je, kweli Takukuru watafanyakazi kwa moyo?

Ni vyema Serikali ya CCM ikawaambia Makamanda wa Takukuru kuwa, wanaopaswa kukamatwa ni wale wote waliokuwa vinara wa kupinga ufisadi tu kuliko kuwafanya hawajui kazi kisa wamewakamata wanamtandao. Shame to you (CCM na Serikali yake).
 
Hili jamvi mmeshalifanya shamba la bibi vile!!! mtu anaweza kukurupuka tuu na kuweka habari zake alizoamua basi. Weka fact ili wajuzi watujuze mengi. SORRY!!
Hii imeshathibitishwa kuwa ni kweli maana imetangazwa rasmi leo asubuhi. Lakini kwani kosa lake hasa ni nini?
 
Hii imeshathibitishwa kuwa ni kweli maana imetangazwa rasmi leo asubuhi. Lakini kwani kosa lake hasa ni nini?

Huenda Mama ni mwana mtandao!

Na kwa hili hata ungekuwa wewe unge-react vice versa na hasa kama uko CCM.
 
Dah kumbe wengine hawagusiki ukiwagusa tu kazi huna.
Sasa si waseme wazi tu TAKUKURU ni kwa ajili ya wale wanao pinga wanamtandao.
 
Kama ni kweli basi waweza kuona kama kweli hiki chama kinatufaa hata siku moja. Ni ufisadi tu!
 
Ni kweli habari hii imethibitishwa na kutangazwa asubuhi hii, na Takukuru wenyewe wamedai zoezi
la uhamisho kabisa. Uhamisho unafanyika wakati wowote bila kujali ni kipindi cha kiangazi au ni kipindi cha
mavuno kama hikiii !!!! Wacha weweeee!!! yaani sipati pichaa !!!!
 
mmmh hii ndo nchi ya wenye meno, wenye mapengo ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...............................:lalala:
 
Pamoja na haya yote bado utawakuta watanzania, tena wakiwemo wasomi, wanaishabikia CCM. :fear:
 
Hiyo ni silent move ya kuwaambia TAKUKURU kwamba, sasa mwisho kuwagusa wateule, chenge na wenzake
sasa watapumua, hii ndo Tanzania lakini sio ile aliyoiacha MWALIMU!
 
Back
Top Bottom