Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Ndugu wa JF, nimepokea taarifa za kifo cha askari huyu "aliyejiua" baada ya kukosea kuelekeza msafara wa "RAHISI" wetu kule kwa ndugu zetu tarime. Uchungu nilionano ni mazingira ya utokeaji wa kifo chenyewe, eti alijipiga risasi baada ya kugundua amekosea kuulekeza msfara wa muheshimiwa mtukutu/fu. Hapa ndipo nilipoanza kujiuliza maswali magumu yafuatayo.
Moja, taarifa zinasema alijipiga akiwa kituoni akihojiwa bada ya kukamatwa, Swali, Inakuaje ajiue katika kituo hiki, silaha aliipata wapi wakati tayari alikuwa ni mtuhumiwa??
Pili, hadi anachukua silaha na kuikoki, walikuwa wapi walikokuwa wanamhoji? Labda walilala kidogo au walienda mslanai!!
Tatu, Alijipiga risasi tano, kwa mujibu wa taarifa zilizopo, ninavyoelewa mimi, risasi moja tu, ingetosha kumfanya atupe bunduki chini na kufa...lakini hapa tunaambiwa alijishindilia rsasi tano, aliouata wapi uhai na nguvu za kuendelea kujimimnia risasi hizi?
Nne, Iweje wahusika " waliokuwa wanamhoji" wasichunguzwe na kukamatwa wao baada ya tukio? Mbona tunasikia wapo nje tu....
Tano, Kwanini mazishi yanafanyika fasta fasta hata kabla ya uchunguzi kukamilika?
Sita, Je ni kweli tuamini kuwa kulikuwa na mkono wa "wanausalama" wakihisi kuwa askari huyu alikuwa na lake jambo?? HIVYO wakaamua kummaliza?
Mwisho, Ni nani hasa muuaji wa askari huyu? Nini uhalali wa kamati au tume inayoundwa kuchunguzwa kifo hicho?
Naskia Pia Mkuu wa Polisi wa Mkoa huo maalumu wa Kipolisi alikuwa Hukooo Dar wakati bosi wake alipotembelea Tarime....hapa napo pana kitendawili.
Maoni; kama kweli huyu askari alikua na ujasiri huo basi ni mfano wa kuigwa kwa wananchi wengine wenye tuhuma za udhalilishaji, wizi na udhulumati, tuwape RISASI nao wajimalize fasta.....Nakupenda Dada
Nakulilia afande wangu wa Ukweli......
Maandiko yanasema; Kila auwaye kwa Upanga nae atakufa kwa upanga.........
Moja, taarifa zinasema alijipiga akiwa kituoni akihojiwa bada ya kukamatwa, Swali, Inakuaje ajiue katika kituo hiki, silaha aliipata wapi wakati tayari alikuwa ni mtuhumiwa??
Pili, hadi anachukua silaha na kuikoki, walikuwa wapi walikokuwa wanamhoji? Labda walilala kidogo au walienda mslanai!!
Tatu, Alijipiga risasi tano, kwa mujibu wa taarifa zilizopo, ninavyoelewa mimi, risasi moja tu, ingetosha kumfanya atupe bunduki chini na kufa...lakini hapa tunaambiwa alijishindilia rsasi tano, aliouata wapi uhai na nguvu za kuendelea kujimimnia risasi hizi?
Nne, Iweje wahusika " waliokuwa wanamhoji" wasichunguzwe na kukamatwa wao baada ya tukio? Mbona tunasikia wapo nje tu....
Tano, Kwanini mazishi yanafanyika fasta fasta hata kabla ya uchunguzi kukamilika?
Sita, Je ni kweli tuamini kuwa kulikuwa na mkono wa "wanausalama" wakihisi kuwa askari huyu alikuwa na lake jambo?? HIVYO wakaamua kummaliza?
Mwisho, Ni nani hasa muuaji wa askari huyu? Nini uhalali wa kamati au tume inayoundwa kuchunguzwa kifo hicho?
Naskia Pia Mkuu wa Polisi wa Mkoa huo maalumu wa Kipolisi alikuwa Hukooo Dar wakati bosi wake alipotembelea Tarime....hapa napo pana kitendawili.
Maoni; kama kweli huyu askari alikua na ujasiri huo basi ni mfano wa kuigwa kwa wananchi wengine wenye tuhuma za udhalilishaji, wizi na udhulumati, tuwape RISASI nao wajimalize fasta.....Nakupenda Dada
Nakulilia afande wangu wa Ukweli......
Maandiko yanasema; Kila auwaye kwa Upanga nae atakufa kwa upanga.........