Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Wamasai watano wakazi wa arusha,
jana waliuziwa viwanja baharini baada ya maji kupwa.
Wauzaji wa viwanja hivyo wanashikiliwa sentro, niko hapa nikiwa nipigwa na bumbuwazi maana nikiwa mdogo nlisha wahi kusikia habari ya msukuma kuuziwa bahari leo nimeyaona kwa macho
jana waliuziwa viwanja baharini baada ya maji kupwa.
Wauzaji wa viwanja hivyo wanashikiliwa sentro, niko hapa nikiwa nipigwa na bumbuwazi maana nikiwa mdogo nlisha wahi kusikia habari ya msukuma kuuziwa bahari leo nimeyaona kwa macho