Wamasai wauziwa bahari

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Wamasai watano wakazi wa arusha,
jana waliuziwa viwanja baharini baada ya maji kupwa.
Wauzaji wa viwanja hivyo wanashikiliwa sentro, niko hapa nikiwa nipigwa na bumbuwazi maana nikiwa mdogo nlisha wahi kusikia habari ya msukuma kuuziwa bahari leo nimeyaona kwa macho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom