Wakuu!
Nawasabahi! ndio kwanza nimeingia ofisini asubuhi hii nimepatwa na masahibu wakati niko kwenye folen kuja ofisini maeneo ya Millenium Tower transforma imelipuka nilikuwa nimeacha kioo cha...
Hii bongo inavutuko sana kwa kweli. Yaani hawa watu wameacha bidhaa zimepita bandarini, ati waje kwangu kukagua!? Nahisi ni hadithi tu. Wameacha kukagua dawa fake kwenye pharmacies; watu wanakufa...
Never believe all you hear, there is a big difference between what people say and what they do. Many people are sweat talkers promising heaven, mars, the moon, stars and the whole universe. In my...
Kuna kitu kilikuwa kinanisumbua kwa muda mrefu tokea wakati wa utawala was Rais Mkapa.
baada yakuumia mguu baadae wasaidizi wake walikuwa wanazunguka na moja ya viti vilivyopo Ikulu ili aweze...
Barrick`s billion dollar deal a dream to locals
By Staff writer
28th February 2010
Tanzanian investors may miss the golden opportunity to own one of Africa's biggest gold mines, Africa...
aliyekuwa mhadhiri wa muda mrefu katika kitivo cha utawala na uongozi cha chuo kikuuu Mzumbe Morogoro, Dr. Katalyeba alizikwa jana. naamini wengi mliowahi kusoma pale mtamkumbuka mzee huyu...
A problem with the undersea cable that brought high-speed net access to East Africa has been identified.
The cable owners, Seacom, said the faulty section is "at one of the deepest...
Uhalifu, mauaji nje nje!
Eneo la Mbezi wilayani Kinondoni hivi sasa ndilo linaloongoza kwa matukio ya uhalifu katika Jiji la Dar es Salaam.
Kuna mlolongo wa matukio ya...
Nilikuwa nasoma gazeti la habari leo, kuhusu awamu ya nne kutoa ajira zaidi ya milioni moja. Nilipofika kwenye maoni ya wasomaji nikakutana na maoni haya. Its funny!!
Hii inaweza kuwa kweli...
Kuna asilimia kubwa ya watanzania wenye kuandika maneno haya wakimaanisha yafuatayo
aendi-haendi
ana-hana
una-huna
uduma-huduma
aina-haina
raisi-rahisi
ukumu-hukumu
mana-maana
Je, hii ni "slang"...
Kuna habari kwenye gazeti la mtanzania ukurasa wa tatu kuhusu kufungiwa kwa vituo vya mafuta vinavyo milikiwa na mbunge wetu wa Musoma mjini, kwa sababu ya uchakachuaji! Hii inamaanisha nini...
Imeandikwa na Na Maulid Ahmed;
Tarehe: 8th July 2010
Habari Leo
MBOGA za majani, ukiwemo mchicha, zinazolimwa kwa kumwagiliwa maji ya Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam,si salama kwa...
Wakuu heshima mbele
kama kichwa cha habari kinavyojieleza,bila shaka kuna wadau wanaotumia
mtandao majumbani humu jamvini. Ningependa kufaham ni shirika gani ama
huduma gani ni angalau ni...
Yaelezwa muuaji alikunywa damu
Shahidi wa pili katika kesi mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), ameieleza Makahama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza kuwa alimuona...
ASKARI wa kikosi cha reli cha Jeshi la Polisi wamebuni njia mpya ya kujipatia kipato kwa kuwatoza abiria fedha za nauli na faini ndani ya treni huku wale wanaokosa wakipigwa na kufungwa pingu...
Jamani sina uhakika na hawa tbc one na jinsi wanavyoaandaa vipindi vyao
vya tv lakini kilasiku kuna makosa ya kipuuzi hadi unajiuliza
kama kuna watu serious pale....
Waliotazama taarifa ya...
Open Letter To President Kikwete
Mr. President, I will not pretend to lecture you on the daunting tasks ahead of you since you see the data and the intelligence; rather, I will simply remind you...
Nimepokea kwa masikitiko sana habari za kujiua kwa askari watatu katika kipindi kisichozidi mwezi mmoja, wa mwisho kajiua jana huko iringa. Ukiangalia kwa undani sababu za vifo vyao vina kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.