Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wakuu! Nawasabahi! ndio kwanza nimeingia ofisini asubuhi hii nimepatwa na masahibu wakati niko kwenye folen kuja ofisini maeneo ya Millenium Tower transforma imelipuka nilikuwa nimeacha kioo cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii bongo inavutuko sana kwa kweli. Yaani hawa watu wameacha bidhaa zimepita bandarini, ati waje kwangu kukagua!? Nahisi ni hadithi tu. Wameacha kukagua dawa fake kwenye pharmacies; watu wanakufa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Never believe all you hear, there is a big difference between what people say and what they do. Many people are sweat talkers promising heaven, mars, the moon, stars and the whole universe. In my...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna kitu kilikuwa kinanisumbua kwa muda mrefu tokea wakati wa utawala was Rais Mkapa. baada yakuumia mguu baadae wasaidizi wake walikuwa wanazunguka na moja ya viti vilivyopo Ikulu ili aweze...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Barrick`s billion dollar deal a dream to locals By Staff writer 28th February 2010 Tanzanian investors may miss the golden opportunity to own one of Africa's biggest gold mines, Africa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
aliyekuwa mhadhiri wa muda mrefu katika kitivo cha utawala na uongozi cha chuo kikuuu Mzumbe Morogoro, Dr. Katalyeba alizikwa jana. naamini wengi mliowahi kusoma pale mtamkumbuka mzee huyu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
A problem with the undersea cable that brought high-speed net access to East Africa has been identified. The cable owners, Seacom, said the faulty section is "at one of the deepest...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, naomba kama kunamtu yoyote mwenye updates za mchakato wa nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa taasisi za umma anipatie!!
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Uhalifu, mauaji nje nje! Eneo la Mbezi wilayani Kinondoni hivi sasa ndilo linaloongoza kwa matukio ya uhalifu katika Jiji la Dar es Salaam. Kuna mlolongo wa matukio ya...
0 Reactions
46 Replies
11K Views
Nilikuwa nasoma gazeti la habari leo, kuhusu awamu ya nne kutoa ajira zaidi ya milioni moja. Nilipofika kwenye maoni ya wasomaji nikakutana na maoni haya. Its funny!! Hii inaweza kuwa kweli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna asilimia kubwa ya watanzania wenye kuandika maneno haya wakimaanisha yafuatayo aendi-haendi ana-hana una-huna uduma-huduma aina-haina raisi-rahisi ukumu-hukumu mana-maana Je, hii ni "slang"...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna habari kwenye gazeti la mtanzania ukurasa wa tatu kuhusu kufungiwa kwa vituo vya mafuta vinavyo milikiwa na mbunge wetu wa Musoma mjini, kwa sababu ya uchakachuaji! Hii inamaanisha nini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Imeandikwa na Na Maulid Ahmed; Tarehe: 8th July 2010 Habari Leo MBOGA za majani, ukiwemo mchicha, zinazolimwa kwa kumwagiliwa maji ya Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam,si salama kwa...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu heshima mbele kama kichwa cha habari kinavyojieleza,bila shaka kuna wadau wanaotumia mtandao majumbani humu jamvini. Ningependa kufaham ni shirika gani ama huduma gani ni angalau ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yaelezwa muuaji alikunywa damu Shahidi wa pili katika kesi mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), ameieleza Makahama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza kuwa alimuona...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
ASKARI wa kikosi cha reli cha Jeshi la Polisi wamebuni njia mpya ya kujipatia kipato kwa kuwatoza abiria fedha za nauli na faini ndani ya treni huku wale wanaokosa wakipigwa na kufungwa pingu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani sina uhakika na hawa tbc one na jinsi wanavyoaandaa vipindi vyao vya tv lakini kilasiku kuna makosa ya kipuuzi hadi unajiuliza kama kuna watu serious pale.... Waliotazama taarifa ya...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Open Letter To President Kikwete Mr. President, I will not pretend to lecture you on the daunting tasks ahead of you since you see the data and the intelligence; rather, I will simply remind you...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimepokea kwa masikitiko sana habari za kujiua kwa askari watatu katika kipindi kisichozidi mwezi mmoja, wa mwisho kajiua jana huko iringa. Ukiangalia kwa undani sababu za vifo vyao vina kila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom