KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,577
- 8,596
Nakumbuka niliwahi kuazima suruali ya jirani yangu dingriz nikamwambia naenda town siku tuliyo ahidiana sikutokea nikiwa bado naosha na raba za bora nimezipaka chaki zimekuwa nyeupeeee nashati la nylon nimepitisha kamba!!jamaa akashindwa kuningoja akanifata town nakusema mbona haujaja mimi kesho naenda kanisani ilinibidi nikatize ziala nirudi homd nimpe jeans lake!!!!mzisha ya wakati wanyerere!!Jewe we unakumbuka nini wakati wa ngazi 4???ua chacha?au mwishonii wakati wa cordry??