Bei ya mafuta kasulu leo!!!

Mu-sir

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,621
1,624
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel bado iko chini kidogo. Swali kwa wadau hii inasababishwa na nini? Mbona juzi juzi mamlaka husika zimekanusha juu ya tetesi za uhaba wa mafuta? Nawasilisha hoja.
 

hashycool

JF-Expert Member
Oct 2, 2010
6,566
2,815
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel bado iko chini kidogo. Swali kwa wadau hii inasababishwa na nini? Mbona juzi juzi mamlaka husika zimekanusha juu ya tetesi za uhaba wa mafuta? Nawasilisha hoja.

na bado...huko si ndo dubai?
 

Cynic

JF-Expert Member
Jan 5, 2009
5,146
1,642
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel bado iko chini kidogo. .

Hii ni hatari, yaani $ 4 kwa lita!!! Mbaya zaidi ni kwamba tutakuwa na lame duck government kwa miaka 5 ijayo. Uchanguzi ndo umeisha - hawana cha kupoteza.
 

Mu-sir

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,621
1,624
We are finished my friends. Lets plan for the next prezidaa after this top fisadi..! Inanikera sana.
 

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,271
4,669
Once again inchi iko under autopilot for another five years
 

rugumye

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
561
175
Kasulu komaeni, matunda yanakuja soon, km adabu kwa CCM tumeona, wataenda kufikiria vizuri kwaani hawakutegemea km Kasulu majimbo mawili yangechukuliwa na NCCR japo hata jimbo la magharibi wamechakachua kwa tofauti ya kura 4. ukiona kobe kainama jua anatunga sheria. Pole Nzansugwanko NCCR uliijenga mwenyewe Kasulu ukaisaliti sasa wamekutia adabu. dhambi mbaya adhabu yake hapahapa duniani.
 

Bigirita

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
15,955
7,277
Once again inchi iko under autopilot for another five years
I like this one. angalao Autopilot huku hali ya hewa ikiwa shwari, hakuna storm wala nini. tatizo ni kwamba, Mkwere hajui lolote, so, ni bora aendelee na ziara za kubembea kuliko kugusa usukani.
 

samora10

JF-Expert Member
Jul 21, 2010
7,600
4,790
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel bado iko chini kidogo. Swali kwa wadau hii inasababishwa na nini? Mbona juzi juzi mamlaka husika zimekanusha juu ya tetesi za uhaba wa mafuta? Nawasilisha hoja.


nahisi unatania 6000!!!!!???? au mi naona vibaya?
anyway hii nchi itacollapse muda sio mrefu, jana nilisikia watu wa mamlaka husika wakisema kuna tatizo kwenye upakuaji wa mafuta bandarini sasa sijajua hilo tatizo litaisha lini
 

Mamushka

JF-Expert Member
Feb 17, 2010
1,596
98
Mh unauhakika na hilo ndugu yangu au ni uzushi? Kama kweli basi kweli kigoma sio Tanzania.
 

Kindimbajuu

JF-Expert Member
Jul 8, 2009
710
242
6000???????????????????????????????????????:nono::nono::nono::nono:

jamani hilo lina wezekana
tujiulize mafuta yanafikaje kasulu ikiwa bandari iko dar???. kama treni haziendi kigoma??? kasulu hakuna watumiaji wengi, sasa fixed gharama ya kufikisha mafuta huko lazima ni juu . ukichangia na uhaba wa mafuta basi ni rahisi mtu kuuza mafuta bei hiyo. kuna wakati miaka 3 iliyopita pale mtwara waliuza mafuta lita sh3000. Tuombe Mungu tu
 

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,514
11,852
NI KWELI KABLA YA UCHAGUZI KIGOMA BEI ELEKEZI YA EWURA ILIKUA sh 2100 per litre.HATA HAPA DAR VITUO VINGI HAVINA PETROL!CEMENT NAYO SONGEA sh 20 000.ndio dubai inavyokua
 

Baba_Enock

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
7,050
2,360
Mu-SA; kama upo Kasulu nenda kituo chochote cha mafuta chomoa Nokia yako piga picha PUMP Price na itume hapa - Niamini I will make a thorough follow-up! Inawezekana wanawachukulia watani zangu for a ride (NCCR Seat 3, CHADEMA Seat 1)!
 

Consultant

JF-Expert Member
Jun 15, 2008
11,407
20,589
6000???????????????????????????????????????:nono::nono::nono::nono:

Niliwahi kufanya kazi kule mwaka 2005-2006 na nakumbuka tulikuwa tunanunua kwa 2000/= per litre! Naona ''inflation'' inazidi kupanda tu..na bado!
 

Cassava

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
282
36
6000???????????????????????????????????????:nono::nono::nono::nono:

kama bei ndo hiyo nchi za jirani bei gani? hakuna uwezekano wa kununua huko? hapo kaka nauli itake isitake lazima ipande, maisha lazima yawe juu. kwa kuwa wafanya biashara wana tabia ya kufidia kwenye bidhaa zao.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom