Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 220,708
- 728,539
Ungeliwategemea CC ya CCM kuwa imejifunza kutokana kujiingiza katika kudumaza demokrasia hapa nchini pale ambapo waliwachagulia waliotoa maoni ndani ya CCM wale wagombea ambao hawauziki na kusababisha maumivu dhidi ya chama hicho na kupoteza viti vingi bungeni...............................
Lakini uteuzi wa majina matatu ya wanawake kabla ya kuwauliza wabunge wenyewe wapige kura ya maoni na kujichagulia kati ya wale walioomba ni itikadi ya mfumo wa chama kimoja cha siasa.........na tuliitarajia CC sasa ingelibadilika na kwenda na wakati lakini si hivyo hata chembe......................
Wabunge wa CCM bado wanageuzwa ni muhuri tu wa kuunga mkono matakwa ya CC ambayo wengi wake kwenye chombo hicho hata hawawezi kusimama mbele ya wapigakura kutokana na kuchokwa kuliko kithiri.......................
Kwa tabia hii ya kukataa kusoma alama za nyakati, CCM ni chama ambacho kipo ICU na ni dola tu ndiko CCM kinakopumulia vinginevyo kaburi lake CCM ni siku nyingi wapigakura walikwisha kulichimba na jeneza lake walilinua na kilichobaki ni tarehe tu ambayo dola itachoka kubeba mzigo huu wa CCM usiobebeka wa hii CCM.................na hivyo kuizika CCM rasmi....
Ama kwa hakika sikio la kufa kweli halisikii dawa..............
Lakini uteuzi wa majina matatu ya wanawake kabla ya kuwauliza wabunge wenyewe wapige kura ya maoni na kujichagulia kati ya wale walioomba ni itikadi ya mfumo wa chama kimoja cha siasa.........na tuliitarajia CC sasa ingelibadilika na kwenda na wakati lakini si hivyo hata chembe......................
Wabunge wa CCM bado wanageuzwa ni muhuri tu wa kuunga mkono matakwa ya CC ambayo wengi wake kwenye chombo hicho hata hawawezi kusimama mbele ya wapigakura kutokana na kuchokwa kuliko kithiri.......................
Kwa tabia hii ya kukataa kusoma alama za nyakati, CCM ni chama ambacho kipo ICU na ni dola tu ndiko CCM kinakopumulia vinginevyo kaburi lake CCM ni siku nyingi wapigakura walikwisha kulichimba na jeneza lake walilinua na kilichobaki ni tarehe tu ambayo dola itachoka kubeba mzigo huu wa CCM usiobebeka wa hii CCM.................na hivyo kuizika CCM rasmi....
Ama kwa hakika sikio la kufa kweli halisikii dawa..............