Mtajiju

masharubu

Senior Member
May 5, 2010
155
10
Sasa uchaguzi umekwisha tunakwenda na mwendo wa utajiju stili ambapo
1. Mgao wa umumu kama kawa
2. Mgao wa maji kama kawa
3. Majembe bararabarani kama kawa
4. Sticker za fire kama zamani
5. Mashimo barabarani kama 1947
6. Machinga kufukuzwa kama zamani
7. Watoto kufukuzwa kwa ajili ya michango ya shule
8. Bei ya mafuta 1800 kama Kongo
9. Foleni Barabarani kumsubiria mama wa kwanza apite kama US
10.Safari za nje kwa Mkulu wa nchi kama kawa
11.Kupotea kwa wabunge wetu majimboni na kuhamia DSM kama enzi za Sapi
 

Preta

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
24,316
18,715
Sasa uchaguzi umekwisha tunakwenda na mwendo wa utajiju stili ambapo
1. Mgao wa umumu kama kawa
2. Mgao wa maji kama kawa
3. Majembe bararabarani kama kawa
4. Sticker za fire kama zamani
5. Mashimo barabarani kama 1947
6. Machinga kufukuzwa kama zamani
7. Watoto kufukuzwa kwa ajili ya michango ya shule
8. Bei ya mafuta 1800 kama Kongo
9. Foleni Barabarani kumsubiria mama wa kwanza apite kama US
10.Safari za nje kwa Mkulu wa nchi kama kawa
11.Kupotea kwa wabunge wetu majimboni na kuhamia DSM kama enzi za Sapi

hicho hapo kwenye blue ndio nini?
 

masharubu

Senior Member
May 5, 2010
155
10
Huo ni umeme ndugu yangu, na bado kulala mzungu wa nne temeke, na amana
 

masharubu

Senior Member
May 5, 2010
155
10
Aaaaahahaaaaa Pretaaaaa, masharubu huwa hayawashi ila yanahasisha. ila nimecheka sana
 

Amanda

Senior Member
Mar 24, 2010
150
36
Hayo ni baadhi ya matatizo uliyoyaona, yako mengi yanakuja, mliyataka wenyewe msilalamike. Mimi na bakia hapa:pray2:
 

boma2000

JF-Expert Member
Oct 18, 2009
3,280
307
ndiyo maisha tuliyozoea mpaka siku nitakapokuwa rais nitaweka sawa kila kitu, nitagombea 2020
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom