Mama Yako Ni Mke Wako

BABA JUICE

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
426
52
ndugu wanajamii huku kijijini napata shida kweli....jana jirani yangu mama preta kaja, juzi alikuja mama alfani ananiuliza kama bado nawasiliana na mwanae aliepo mjini?nikamjibu mama siku hizi mwanao kabadili namba na hapatikani hewani nikamwambia mama usiohofu habari zake nitamfikishia jamii forum kwani hata na jina siku hizi kabadili anaitwa money maker, kwani mama tatizo nini jioni yote hii? mwanangu aliniahidi atatuma pesa kwa m-pesa hadi leo mwezi wa pili umepita hajatuma kitu.....basi mama chukua hii elfu tano itakusaidia kwa wiki moja.ndugu wanajamii mama zetu ni wake zetu na wadogo zetu ni watoto zetu...tusiwasahau kwa starehe za huko mjini tutume japo kidogo kiweze kuwakimu huku vijijini kwani huku hali ni ngumu.....tusijisifu kuwa tunawasaidia wazee wetu wakati hatufanyi hivyo.....kwako kidogo kwake nyingi...tuma chochote....alfani na preta pesa zangu mnilipe.
 
ndugu wanajamii huku kijijini napata shida kweli....jana jirani yangu mama preta kaja, juzi alikuja mama kamongo ananiuliza kama bado nawasiliana na mwanae aliepo mjini?nikamjibu mama siku hizi mwanao kabadili namba na hapatikani hewani nikamwambia mama usiohofu habari zake nitamfikishia jamii forum kwani hata na jina siku hizi kabadili anaitwa money maker, kwani mama tatizo nini jioni yote hii? mwanangu aliniahidi atatuma pesa kwa m-pesa hadi leo mwezi wa pili umepita hajatuma kitu.....basi mama chukua hii elfu tano itakusaidia kwa wiki moja.ndugu wanajamii mama zetu ni wake zetu na wadogo zetu ni watoto zetu...tusiwasahau kwa starehe za huko mjini tutume japo kidogo kiweze kuwakimu huku vijijini kwani huku hali ni ngumu.....tusijisifu kuwa tunawasaidia wazee wetu wakati hatufanyi hivyo.....kwako kidogo kwake nyingi...tuma chochote....kamongo na preta pesa zangu mnilipe.
 
sorry hii topic kimakosa nimeandika hapa ilitakiwa iwe katika hoja mchanganyiko.not my intention:bowl:
 
Wacha ujinga kijana kwani ukimseidia mtu hadi ulale nae? We **** nini?
 
siielewi hii topic.

anajinasibu kiwa kasaidia jirani yake elfu tano imsaidie wiki moja!

mkuu, ubarikiwe kwa msaada wako huo, lakini siku nyingine ukimsaidia mtu usijitangaze kwenye media wala kulaumu amabao hawajasaidia wengine. tenda wema uende zako usingoje shukrani. hata hivyo ushauri wako kuwasaidia wazazi wetu walio na hali ngumu nimeupokea kwa mikono miwili isipokuwa kusaidia jamaa zetu wengine nimupokea kwa tahadhari kubwa
 
mkopo ndio...ukisoma mada soma kwa makini kuna mtu mwingine kakurupuka tu
 
Da! Jamani humu jamvini kuna kila aina ya burudani.
Preta aliyetajwa humu si ni member mwenzetu au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom