Kama anaishi na baba yake au haishi nae, sisi inatuhusu nini? Peleka upuuzi wako huko huko kwa watu wa sampuli yako!
dah mmenikumbusha lau masha kipindi cha kampeni mdau mmoja alimuomba amkaribishe kwake jamaa akaanza kumbwelambwela kumbe anagombea jimboni kwake hana hata kibanda hata baada ya 5yrs kuwa kama mbunge pia minister kila kitu kwa baba!
poleni kwa wale walio kwazika na mada yangu na nashukuru kwa michango yenu.
Baada ya kusikia tetesi hizo nilitaka uhakika hapa kwa sababu naamini kuna watu wenye uhakika.
Mada yangu kama ingethibitika anaishi hapo,ninge hoji inakuwaje aishi ikulu kama mtoto wa rais au mtumishi wa umma wakati mimi ninaefanya kazi serikalini na kupewa nyumba ya kuishi nimeambiwa naruhusiwa tu kukaa na watoto chini ya miaka 18 lau kama anazidi hapo basi awe anasoma na asizidi miaka 21..
W/end njema.
poleni kwa wale walio kwazika na mada yangu na nashukuru kwa michango yenu.
Baada ya kusikia tetesi hizo nilitaka uhakika hapa kwa sababu naamini kuna watu wenye uhakika.
Mada yangu kama ingethibitika anaishi hapo,ninge hoji inakuwaje aishi ikulu kama mtoto wa rais au mtumishi wa umma wakati mimi ninaefanya kazi serikalini na kupewa nyumba ya kuishi nimeambiwa naruhusiwa tu kukaa na watoto chini ya miaka 18 lau kama anazidi hapo basi awe anasoma na asizidi miaka 21..
W/end njema.
Kweli wewe ni Premium Member?
Kama anaishi na baba yake au haishi nae, sisi inatuhusu nini? Peleka upuuzi wako huko huko kwa watu wa sampuli yako!
Kweli wewe ni Premium Member?
Aishi au asiishi, he is no body to us. Swali lako haliwezi kusaidia kuendeleza hili Taifa, sana sana kulirudisha nyuma tu maana kufatilia private lives za watu ni kukosa kazi.
poleni kwa wale walio kwazika na mada yangu na nashukuru kwa michango yenu.
Baada ya kusikia tetesi hizo nilitaka uhakika hapa kwa sababu naamini kuna watu wenye uhakika.
Mada yangu kama ingethibitika anaishi hapo,ninge hoji inakuwaje aishi ikulu kama mtoto wa rais au mtumishi wa umma wakati mimi ninaefanya kazi serikalini na kupewa nyumba ya kuishi nimeambiwa naruhusiwa tu kukaa na watoto chini ya miaka 18 lau kama anazidi hapo basi awe anasoma na asizidi miaka 21..
W/end njema.
uongo mkubwadah mmenikumbusha lau masha kipindi cha kampeni mdau mmoja alimuomba amkaribishe kwake jamaa akaanza kumbwelambwela kumbe anagombea jimboni kwake hana hata kibanda hata baada ya 5yrs kuwa kama mbunge pia minister kila kitu kwa baba!