Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,525
- 1,521
Kama kuna nafasi nzuri sana ya Chadema kuendeleza kuvuma na "mvuto" wao ni kwa sasa hivi wanapowasusia CCM na Kikwete kuleta msukumo wa nguvu sana kuleta mabadiliko ya Katiba na hata sheria za uchaguzi.
Ni ajabu kuwa Tanzania yetu hii, leo hii kunaaonekana wazi dhuluma kwenye upigaji kura na hasa kura ya Urais, lakini hakuna ruhusa kupinga hato matokeo au kulazimika kwa uchaguzi kurudiwa.
Ama kile alichokifanya Mkapa cha mwenye kura nyingi ndiye mshindi bila hata kupata nusu ya kura ni uuaji wa Demokrasia.
Chadema wana uwezo mkubwa sana kwa msimamo wao walioufanya wa kukataa kumtambua Kikwete kuanza kujenga hoja na hata kesi mahakamani ya kutaka Katiba yetu ibadilishwe na ikidhi mahitaji na matakwa ya Watanzania na si ya CCM pekee.
Hili lisisubiri 2014, lianze kesho!
Ni ajabu kuwa Tanzania yetu hii, leo hii kunaaonekana wazi dhuluma kwenye upigaji kura na hasa kura ya Urais, lakini hakuna ruhusa kupinga hato matokeo au kulazimika kwa uchaguzi kurudiwa.
Ama kile alichokifanya Mkapa cha mwenye kura nyingi ndiye mshindi bila hata kupata nusu ya kura ni uuaji wa Demokrasia.
Chadema wana uwezo mkubwa sana kwa msimamo wao walioufanya wa kukataa kumtambua Kikwete kuanza kujenga hoja na hata kesi mahakamani ya kutaka Katiba yetu ibadilishwe na ikidhi mahitaji na matakwa ya Watanzania na si ya CCM pekee.
Hili lisisubiri 2014, lianze kesho!