Msaada:Jina LA hii nyimbo

Msaada:Jina LA hii nyimbo

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,756
Reaction score
60,517
DuniA tunapita eeh[emoji445]
Kitakachobaki MILELE ni milima [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Hio ni baadhi ya Mistari Yake. Msanii huyu WA zamani anaitwa Nani? Na Sasa yuko wapi?
 
Anaitwa Samba Mapangala, ni msanii mwenye asili ya Kenya, nadhani maskani yake ni Marekani
 
Asante Sana.. Shukrani nyingi.. Jf ni zaidi ya faida..
 
DuniA tunapita eeh[emoji445]
Kitakachobaki MILELE ni milima [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Hio ni baadhi ya Mistari Yake. Msanii huyu WA zamani anaitwa Nani? Na Sasa yuko wapi?
Umeruka verse inayosema, binadamu ni muchangaaa! Hapo ndio huniacha hoi, badala ya kusema binadamu ni udongo/mavumbi
 
DuniA tunapita eeh[emoji445]
Kitakachobaki MILELE ni milima [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Hio ni baadhi ya Mistari Yake. Msanii huyu WA zamani anaitwa Nani? Na Sasa yuko wapi?
Tutafundisha lugha ya kiswahili humu bila kuchoka.

Ungeandika'Huu wimbo'
 
Jina la Wimbo: Dunia tunapita.
Mpigaji: Samba Mapangala& orchestra virunga
Anaishi Marekani kwa sasa na huwa ana perform na Occidental Brothers Dance Band
Mkuu umechimba deep,
Nasisi tuliokuwa hatujui tumejua,
Big up sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom