Wakuu...
Kwa wadau wa series hebu tuambie unamkubali nani. Binafsi namkubali na kumpenda sana Jack Bauer wa 24 Hrs. Anajua kuvaa uharisia wa hali zote. Ni mzalendo na anajua namna ya kuwavuta...
Nyimbo iliyopigiwa promo ya kufa mtu ya mwanamziki Ally Kiba kumbe ilikuwa na utamu wa Big G!
Ndani ya wiki moja imechuja na sasa truck kutoka wasafi record inayoitwa Zilipendwa imepanda chati...
Kiukweli bongo fleva sasa ni biashara,vile utakavyoweza kuwateka mashabiki,..haina tofauti na yule mkorea gangnam style,sio kwamba ni good music ila mbwembwe nyingi..same happend to ali kibas...
Kwa wale wanaofaham... Naomba kuuliza Kama kuna fta Chanel zinaweza kuongezwa kwenye muelekeo wa Dstv... Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupongeza kwa kurejea. Ulituvuruga sana hapa mashabiki wako wa damu na zile ishu za mafuta...
Mambo ya ebitoke na affairs zako nyingine za mapenzi hayatuhusu.. Jana umeguguma sana XXL...
Hili kundi naona limepoteza muelekeo sikuiz,matangazo nayo yamekua part ya program, hata kipengele rahisi cha songi la leo kila siku kurudia tu.
Ushauri wangu kwao ni kua wasione aibu kutangaza...
Kinachoendelea kwa sasa katika kituo cha redio cha Clouds ni shamra shamra za uzinduzi wa Tamasha la Fiesta chini ya udhamini wa mtandao wa simu wa Tigo.
Kati ya watumbuizaji wa tamasha hilo ni...
Moja ya nyimbo nzuri kwa mwaka huu ni pamoja na ya huyu kijana. Kwangu mimi, huyu ni moja ya vile vipaji halisi katika tasnia ya burudani...
Ngoma yake mpya ya Libebe kamalizaa
Pitia youtube...
Wanandugu nimekuwa na maswali mengi bila majibu kuhusu hiki kinaitwa fiesta,
Wao wanaita msimu wa fiesta naona hata baadhi ya viongozi wanalinadi jambo hilo,
Sasa mimi Labda ushamba wangu wa...
habari humu ndani wapendwa. mimi ni msanii wa bongo fleva ( sijajulikana bado)nafanya R&B,Hip hop (commercial) na aina nyingine. natafuta management ili niweze kutoa kazi zangu nilizo nazo na...
Hivi humu ndani kuna watu wanao tazama jumong?
Ni tamthilia nzuri mno ya kikorea, na inahusu siasa zaidi kuliko kingine. Natamani wana jf wote wawe wanatama jumong, ina fundisha vitu vingi sana...
Wakuu nauliza kama una series na uko mwanza naomba aje pm ili tuone namna ya kubadilishana for free ntakufata popote ulipo ili mradi usiwe mke wa mtu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]...
Dah bonge moja la nyimbo, sometime hili beef la watu wawili (kiba na mondi) linatuharibia gemu watangazaji na radio nao wamekuwa mashabiki, mpaka nyimbo kama hizi zinakosa airtime
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.