george ndamanya
Member
- Jul 10, 2017
- 22
- 33
1) Hivi global TV na bongomikasa TV ni za nani?
2)Hivi faida (profits) za kuendesha TV kwenye mtandao iko je?????
3)Nikitaka kufungua yangu taratibu ziko vipi??????
4)Nitafurahi nikipata namba za simu za mmoja wao ili wanisaidie.
2)Hivi faida (profits) za kuendesha TV kwenye mtandao iko je?????
3)Nikitaka kufungua yangu taratibu ziko vipi??????
4)Nitafurahi nikipata namba za simu za mmoja wao ili wanisaidie.