Nakumbuka kipindi cha nyuma Kenya walikua wakituongoza kimuziki katika ukanda wa East Africa.Kwa bahati nzuri baada ya revolution kufanywa na vijana wa Bongo Fleva Tz tumefanikiwa kuongoza East...
Je, ni kutaka kuonekana kwamba wanaujua mziki tangu 80's au wanadhani wateja ndo tunazopenda?
Nyimbo mpya ni nyingi sana hata ukizipiga masaa 24 haziishi...
Nipo hapa Maisha Club makumbusho...
Mwenye uelewa anielekeze jaman mm nataman kutambua advantage ya push up [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau,
Katika tasnia ya muziki Africa ni vigumu kutoitaja Congo. Nimepata kuishi kambi za wakimbizi wa kikongo na huko nilishuhudia namna muziki ulivyo damuni. Kuna kanisa moja la asili wakati wa...
Kuna movie moja hivi inaitwa Apocalypto,.. Hii movie, ni moja Kati ya movie ambayo hainichoshi kuiangalia tena na tena... Huyu jamaa Star wa hii movie nimemkubali saaana, ananishawishi niendelee...
habari zenu ndugu zangu
samahani naomba kuuliza kwa wale wataalamu wa kupakia(upload) nyimbo mtandaon
kua nime pakia nyimbo yangu ktk hizi free sites kama vile audiomack/bandcamp nk
lakini...
.
.
Na SANGUJOSEPH
.
.
Kuna KITU MASHABIKI Na wapenzi wa MUZIKI tunapaswa tukifahamu SANA katika muziki WETU SHABIKI Au Team za wasanii now days Zina nafasi kubwa ya kuifanya nYimbo ya kawaida...
Huu ni wimbo wa bongofleva ambao nilitokea kuupenda sana ila umenitoka kidogo, una mashairi haya; Nilimfukuza mpenz wangu eti kwa sababu ya bintii, nilimfukuza wangu moyo eti kwa sababu ya bintii...
Masada wakuu kwa anaefaham audio player kwenye Android ambayo itakua Ina cheza miziki iliyoko kwenye play list Bila kuweka pause (fade) kutoka miziki mmoja kwenda mwingine
Yani inaiunganisha...
Wakuu leoo tukumbushane kuhusu movie za nje ambazo baadhi huwa inspire watazamaji na nyingne n real dramaa..
Mimi naanza na Escape from sorbibor.......kuna Missing in action...
SIMULIZI: ANTI EZEKIEL
MTUNZI: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
Marashi yaliyopuliziwa na mtu ambaye nilikuwa sijauona
uso wake wala kujua yu umbali kiasi gani kutoka katika kiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.