nani anawakumbuka hawa wana mama wawili wa kiafrica wenye asili ya kongo. Tshala Muana ambayue aliogopwa sana na wanawake hasa kwa namna ambavyo alikuwa akicheza bila kuvaa chupi na wakati...
Verse yake iko hv
'Kazi yao yote ua bure, sasa wanaona ubaya
Sisi sasa nawashambulia, wasijue hata lakufanya
Jeuri yao wote sasa, imekwisha kabisa leo
Kucheza na miziki ya watu,sasa wamekwisha...
Wakati binti akiwa Hana mtoto wa kumnyonyesha sehem za kifua chake huwa tunaona/anaona ni siri., Lakini akiwa ananyonyesha tu sehem zake za kifuani sie/au yeye huona km sio siri tena. Nini tafsiri...
Wangapi mtakuwa tayari kunisaport kwa kuitangaza kwa vijana ili waweze kuitambua na kufanya contact niweze kupata kazi zao na kufanikisha dhumuni letu bure !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni siku ya pili mama huyu ameachia video yake ya kichaka ambayo ndani yake Kuna belle 9, na Gnako.
maudhui yake ni mahaba/ mapenzi lakini picha zake zimejawa na mavazi ya kiasili na vitenge...
Waungwana nimeusikia wimbo aloimba Z-anto wa kumwombea Lissu,pia na msanii mwingine sijui ni nani?
Nimeshindwa kuziweka hapa,zipo YouTube. Zinauma sana,mwenye uwezo wa kuzuweka aweke please...
"I Believe In Love"
I don't believe in superstars
Organic food and foreign cars
I don't believe the price of gold
The certainty of growing old
That right is right and left is wrong
That north and...
Emancipate yourselves from mental slavery none but ourselves can free our minds, have no fear for atomic energy, cause none of them can stop the time, how long shall they kill our prophets, while...
Niliona katika page yake 50cent akisema kamaliza series yake "POWER' ila akasema wwamekubaliana na STARZ SHOW KUENDELEA NA "power SERIES Je anaendelea na season 5??
Au anakitu kipya maana kama...
Great app for movie downloader you will find in playstore for free is now available
Thats popcorn time
Sent using Jamii Forums mobile app
What you need to do is to go play store and...
wakuu kama kuna mtu anajua namna ya kudownload series naomba anisaidie ni websites gan au kama mweny series ya Narcos season 3 Naomba aweke Umu ahsanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Bandugu,
kama kuna mtu anajua tafsiri ya wimbo huu kwa kiswahili au kiingereza nitashukuru sana!
Libala
Reddy Amisi
Ba mekaka mosapi na mozindo te di, tuna liteya
Libala oh, libala oh,
tuna...
Yaaaaap kwa wale wapenzi wa TV Series na movies kupitia websites hizi inakuwa rahisi mno kudownload/kustream TV Series bureeeee! Kupitia websites hizi utaweza kudownload TV Series zaidi ya 2000+...
Wadau kuna spika ya gari naiuza kwa atakayehitaji bei sh laki location ni moshi. Naiuza sababu sihitaj mziki mkubwa wa gari
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.