Masada wakuu kwa anaefaham audio player kwenye Android ambayo itakua Ina cheza miziki iliyoko kwenye play list Bila kuweka pause (fade) kutoka miziki mmoja kwenda mwingine
Yani inaiunganisha...
Wakuu leoo tukumbushane kuhusu movie za nje ambazo baadhi huwa inspire watazamaji na nyingne n real dramaa..
Mimi naanza na Escape from sorbibor.......kuna Missing in action...
SIMULIZI: ANTI EZEKIEL
MTUNZI: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
Marashi yaliyopuliziwa na mtu ambaye nilikuwa sijauona
uso wake wala kujua yu umbali kiasi gani kutoka katika kiti...
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu limepinda...
Nimeisikiliza wimbo mpya wa Roma mkatoliki Leo
Nimependa pale anaposema ""Mungu wa daudi mungu wa Paulo na mungu wa yohana""""
Hio sentensi hapo naona inamajibu karibu yote ya kutekwa.
Rapa Roma...
Chuki,wivu na kutokubali kushindwa kunaelekea kuliangamiza taifa hili kimuziki.Sasa kazi mbovu kabisa zinapewa promo kiasi cha kuharibu jina na muziki wa Tanzania.
Hivi sasa tumefikia hatua ya...
Ngoma za mbele ziliniteka kwa mda kidogo Kendrick na Jay Z new albums zime make most of my playlist. But huu mwezi bana zimetoka hits balaaa kila ngoma jiwe So far hizi ngoma haiewezi pita day...
Habari wana jf kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu nahitaji msaada jinsi gan ntaipata video ya xxx(triple x ) the return of xandar cage iliyochezwa na mtaalam van diesel,ton ja na...
Ebhana hali ya hewa sio nzuri mitandaoni na ac za simu hazifanyi kazi kwa vitu vinavyoachiwa saizi....tujaribu kuachana na mziki wa team tufanye kumsikiliza beka flavour na mr blue...
#iwe ni...
Hakuna kitu kinauma kama kufungwa match mfululizo Huyu jamaa kachoka atupishe...Yaani Bado kidogo tu tunapiga kama Ruvu na Simba Jana.
Chonde chonde Kwa mashabiki wote wa Arsenal5 duniani Tuseme...
MUZIKI WA BONGO FLEVA USIWE CHANZO CHA KUARIBU TAIFA KWA TUNGO CHAFU..
Na Mgeni_wa_Jiji
Sanaa ni ajira iliyowainua vijana wengi duniani na sasa Tanzania tunalishuhudia hili. Ikiwa sanaa ni ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.