Weka na Pakua Bongo Flavour/Bongo Hip Pop za Miaka ya 2005- 1990s Hapa

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,651
14,333
Nimeona ni vyema tukakumbuka zile ngoma za miaka ile ya 2005 kushuka chini mpaka 1990s kwa kushare mambo haya ya kitambo.

Tafadhari dondoshea vibao ulivyo navyo vya miaka hiyo makundi mbalimbali kama GWM, WWA,Diplomatz, kulikuwa na Gangsters With Matatizo na Pia kulikuwa na Gang Way Mob, HBC, Mr 2, vibao kama mnyalu,sister du, nini mnataka mazee n.k

Hapa tunaweza saidiana kuwakumbuka wakali wa miaka hiyo wenye uchungu na muziki hasa.
 

Attachments

  • Imam Abbas - Bila sanaa.mp3
    4.2 MB · Views: 149
  • pig-black-nini-mnataka.mp3
    3.3 MB · Views: 119
Watu waumize vichwa kutunga halafu wewe wakuwekee kiurahisi tu upakue. Nenda kwenye app ya Wasafi wasanii wengi wapo huko.

Wachangie ili nawe uburudike acha shortcut.
 
Wasafi ndo akina nani? Unataka nije kupakua kwako ?

Watu waumize vichwa kutunga halafu wewe wakuwekee kiurahisi tu upakue. Nenda kwenye app ya Wasafi wasanii wengi wapo huko.

Wachangie ili nawe uburudike acha shortcut.
 
Mkuu, naitafuta sana hiyo track "Sista du''.

Please, mwenye nayo naomba anipatie. Nishaitafuta sana kwenye mageto ya wana ila hola.

Pia kuna track moja hivi, siikumbuki title yake exactly, lakini inazungumzia miundombinu ya barabara jijini Mwanza kwa wakati huo. Baadhi ya maneno kwenye chorus ni "mwanza zirekebishwe barabara''.

Naitafuta sana hiyo track pia. Daaah I like much old skul bongo fleva. Zilikuwa tamu hatare.

Please wakuu, naombeni mwenye hizo nyimbo mbili anitumie hata kwa PM.

-Kaveli-
 
Nimeona ni vyema tukakumbuka zile ngoma za miaka ile ya 2005 kushuka chini mpaka 1990s kwa kushare mambo haya ya kitambo.

Tafadhari dondoshea vibao ulivyo navyo vya miaka hiyo makundi mbalimbali kama GWM, WWA,Diplomatz, kulikuwa na Gangsters With Matatizo na Pia kulikuwa na Gang Way Mob, HBC, Mr 2, vibao kama mnyalu,sister du, nini mnataka mazee n.k

Hapa tunaweza saidiana kuwakumbuka wakali wa miaka hiyo wenye uchungu na muziki hasa.
 
Nimeona ni vyema tukakumbuka zile ngoma za miaka ile ya 2005 kushuka chini mpaka 1990s kwa kushare mambo haya ya kitambo.

Tafadhari dondoshea vibao ulivyo navyo vya miaka hiyo makundi mbalimbali kama GWM, WWA,Diplomatz, kulikuwa na Gangsters With Matatizo na Pia kulikuwa na Gang Way Mob, HBC, Mr 2, vibao kama mnyalu,sister du, nini mnataka mazee n.k

Hapa tunaweza saidiana kuwakumbuka wakali wa miaka hiyo wenye uchungu na muziki hasa.
GU dume unamjua Nikki mbishi
 
Mkuu, naitafuta sana hiyo track "Sista du''.

Please, mwenye nayo naomba anipatie. Nishaitafuta sana kwenye mageto ya wana ila hola.

Pia kuna track moja hivi, siikumbuki title yake exactly, lakini inazungumzia miundombinu ya barabara jijini Mwanza kwa wakati huo. Baadhi ya maneno kwenye chorus ni "mwanza zirekebishwe barabara''.

Naitafuta sana hiyo track pia. Daaah I like much old skul bongo fleva. Zilikuwa tamu hatare.

Please wakuu, naombeni mwenye hizo nyimbo mbili anitumie hata kwa PM.

-Kaveli-
Tena kwenye kiitikio alikua anaimba mwanamke hio mwaanza ilerekebishwe barabara..


Nakumbuka nilikua mdogo kipindi hicho, na rfa ndio walikua wanapenda sana kuupiga huo wimbo kipindi cha jioni ...especially kwenye kile kipindi cha jioni cha jambo jambo cha Lusungu
 
Mamsapu
Mtoto wa geti kali
Za kigetogeto
Buzi(mr paul feat inspector haroun)
Niko gado(both ya nature na insoector)
Wananiita sugu
Bby tamara
Eno mic
Julietha
Nyambizi
Hi
Wauguzi
Yalaa(john walker)
Da joe nimekukubali
Anakuja (sister p)
Mtani jirani
Vituko uswahilini(suma g)
Zipo nyingi yani
 
Back
Top Bottom